maramia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,030
- 1,344
Naamini baada tu ya kutangazwa matokeo ya Rais na wabunge, na CCM kuibuka na ushindi wa 62% kwa nafasi za ubunge na urais kwa 70% Ukawa hawatakuwa tena na nafasi ya hata kufanya tathmini ya kushindwa kwao ila wataanza kunyukana kumtafuta mchawi wa kushindwa kwao.
Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.
Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke. Lowassa ndio kabisaaa, hakuna atakayetaka kulisikia hata jina lake.
Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.
Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono. Dk Slaa atabakia mshindi wa kudumu ktk Chadema.
Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria na viongozi wake wataparaganyika kuanzia hiyo kesho.
Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.
Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke. Lowassa ndio kabisaaa, hakuna atakayetaka kulisikia hata jina lake.
Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.
Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono. Dk Slaa atabakia mshindi wa kudumu ktk Chadema.
Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria na viongozi wake wataparaganyika kuanzia hiyo kesho.