Baada ya tendo, tumbo huuma!

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,313
2,646
Habari za Leo madaktari,

Mke wangu tukimaliza tendo huumwa na tumbo linalo ambatana na kichefuchefu na uchovu wa mwili ni miaka miwili tangu tuoane nimekwisha mpeleka hospital sana na hupewa dawa lakini tatizo bado lipo.

Juzi tumeenda tena tukaambiwa inabidi asafishwe sasa nikaona kabla hajasafishwa kwanza niombe ushauri hapa.

NB hajawahi kuzaa wala hajawahi kushika ujauzito

Msaada wenu Tafadhali.
 
Kaka yangu mtumwa, hongera kwa kupata jiko. Punguza dozi utamuua mtoto wa watu bwana .
 
Jamni mbona hamelewi mda hizo siyo dawa useme tatizo ni dozi kwa nn msisema hayo manii ni chafu,au damu hazipatani?
 
Mkuu matatizo ya kina mama hasa uzazi yanaitaji tabibu bingwa sio tu kila tabibu.
Sababu zinaweza kuwa zaidi ya hizi.
1~mkeo anauvimbe kwenye kizazi
2~mzunguko wake wa hedhi haueleweki,siku zake hazina mpangilio mzuri
3~mayai yake hayapevuki vizuri hivyo kufanya yabakie kuwa viza
 
labda una uume mkubwa mapaka unasukuma kizazi cha mwenzio embu mkiwa mnafanya fanya kijuu juuu
 
Slave,hebu kapimeni damu zenu kwanza,ujue uko grup gani na yeye vile vile

="lady mmarangu, post: 15286055, member: 342962"]Slave,hebu kapimeni damu zenu kwanza,ujue uko grup gani na yeye vile vile[/QUOTE]
Asante naanza na ushauri huu kwanza
 
hilo ni chango kama hatumii dawa za kuzuia mimba tiba ipo na ushaidi kuwa ndani ya mwenzi mkeo anapata mimba na akipata mimba ndo anepona hilo ttzo
 
Back
Top Bottom