Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,646
Habari za Leo madaktari,
Mke wangu tukimaliza tendo huumwa na tumbo linalo ambatana na kichefuchefu na uchovu wa mwili ni miaka miwili tangu tuoane nimekwisha mpeleka hospital sana na hupewa dawa lakini tatizo bado lipo.
Juzi tumeenda tena tukaambiwa inabidi asafishwe sasa nikaona kabla hajasafishwa kwanza niombe ushauri hapa.
NB hajawahi kuzaa wala hajawahi kushika ujauzito
Msaada wenu Tafadhali.
Mke wangu tukimaliza tendo huumwa na tumbo linalo ambatana na kichefuchefu na uchovu wa mwili ni miaka miwili tangu tuoane nimekwisha mpeleka hospital sana na hupewa dawa lakini tatizo bado lipo.
Juzi tumeenda tena tukaambiwa inabidi asafishwe sasa nikaona kabla hajasafishwa kwanza niombe ushauri hapa.
NB hajawahi kuzaa wala hajawahi kushika ujauzito
Msaada wenu Tafadhali.