Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Wadau naona Dr Mwakyembe baada ya kasafisha TCA, TPA na sasa ni zamu ya CEO pale TAA. Mi naona kasi ya uwekezaji ktk kujenga na kuboresha viwanja hauendani na ukuaji wa uchumi Afrika mashariki.
Ni mtizamo tu.
Ni mtizamo tu.