OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
Hii ni serikali iliyoongoza miaka 60. Baada ya miaka 60 ndio inakumbuka kujenga madarasa na zahanati kwa kunyanganya kidogo walichonacho. Lakini ikiaminisha watu kwamba nchi ni tajiri na ina rasilimali tele.
Awali tulidhani huyu ni Mama kumbe waaaaaapi ni Mama wa Kambo