Baada ya miaka 5 Rais anaweza kutoka Msoga

Baada ya miaka 5 Rais anaweza kutoka Msoga

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,141
Reaction score
96,168
Kwa ujinga unaofanyika CCM, tegemea Rais kutoka Msoga baada ya Mama...kuna mtu anamtayarisha mwanawe
 
Kwa ujinga unaofanyika CCM, tegemea Rais kutoka Msoga baada ya Mama...kuna mtu anamtayarisha mwanawe
Ndiyo! Angalia jinsi wanatendeana wenyewe kwa wenyewe! Ndiyo watashindwa kutenda mara 10 kwa washindani wao?
 
Kwa ujinga unaofanyika CCM, tegemea Rais kutoka Msoga baada ya Mama...kuna mtu anamtayarisha mwanawe
Walioukamia sana u rais na kusemwa sana hawakuupata.

Aboud Jumbe Mwinyi.

Edward Moringe Sokoine.

Salim Ahmed Salim.

January Makamba.

Edward Lowassa.

Halafu wakaja watu ambao hata hawakufikiriwa wakawa marais.

Ali Hassan Mwinyi.

Benjamin William Mkapa.

John Pombe Magufuli.

Samia Suluhu Hassan.

Tanzania mtu pekee aliyeweza kupita mtihani wa kutajwa sana urais na kuwa rais ni Jakaya Mrisho Kikwete tu, na yeye alianza kwa kupigwa chini Wizara ya Mambo ya Nje kwa miaka 10 kwanza.
 
ni wakati sasa chadema mfunge mdomo...muache watanzania waweke alama ya vyema october
 
Haters wa JPM hutowaona wakija kusema JK ameifanya nchi ni ya kifamilia, ila Jesca Magufuli kuwa na fununu kutaka Ubunge tayari iliwauma
 
Back
Top Bottom