KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
They're more like 'elements' than actual chemicals!Without chemicals such as hydrogen and oxygen
They're more like 'elements' than actual chemicals!Without chemicals such as hydrogen and oxygen
Ujuha wako huko huko lumumba siyo humu.
Kwa ma ccm, hiyo ni fursa ya kujitafutia "kick" kutoka kwa Presidar!Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mara ya kwanza amesimamia jambo likawa jambo!!
Sir !; sure, oxygen and hydrogen are elements in that they can't be decomposed further into other elements, but they "chemicals," kind of chemicals known monatomic chemicals.They're more like 'elements' than actual chemicals!
😂😂😂😂kamati kwani ilicheza?
Kila mtu anasimama kwenye nafasi yake mkuu, kocha alifanya kazi yake tangu day one hadi kutufikisha hapa, wachezaji nao hivyo hivyo. Ila kuna siasa nyingi kwenye mpira, you need outsiders to support you reach your objectives. Mchezaji namba 12 alihitajika sana mechi ya leo, nilifurahi sana kuona uwanja umejaa pomoni mkuu.Hata Makund* wenu asingesimamia Tanzania ingelishinda tu......! Mnaompa pongezi huyu jamaa mpenda mijisifa ndo mnaharibu nji...!
Hivi Kocha, Wachezaji na TFF wanajisikiaje wanapoona Mkuu wa Mkoa ndiye anayesifiwa?Hivi mnataka kuwaamisha Watz kuwa pasipo Makund* timu yetu isingelishinda? Kama jibu ni ndiyo TFF wanangoja nini kumwajiri Makonda ili awe super coach wa Stars?
kwani 1.5trilioni zimepotea kipindi cha rais gani?Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Katika sekta ya michezo asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu ,mambo yote hubadilika kutoka juu mpaka chini ,tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na baadhi ya wasomi hasa Chadema kwamba rais hata akiwa mwizi ,mvivu mzururaji mambo yataenda tu kisa eti urais ni taasisi?
Katika sekta ya michezo asante Taifa stars, Simba na bondia Mwakinyo
Asante kasi ya Rais Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani 1.5trilioni zimepotea kipindi cha rais gani?