Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Baada ya Stellah kuhitimu udaktari nchi Japan na kurejea Kenya, cha ajabu Freshley akiwa ameambatana na ndugu na jamaa zake wakienda kumpokea Stellah na kumpongeza kwa kisomo, Stellah alishuka kwenye ndege akiwa na mtoto, pia akiwa ameambatana na mchumba wake yule Mjapan.
Lilikuwa ni Pigo kubwa sana kwa Freshley na kuacha gumzo kwa waliokuwa wamemsindikiza. Freshley anasema alitamani kulia Kitaita, Kijaluo lakini ikabidi alie kikamba lugha ya baba na mama.
Kila ifikapo tarehe tarehe 17 Mei ya kila mwaka, Wakenya huonesha hisia zao kuhusu tukio hili ambalo lilitokea tarehe tajwa hapo.
Pia soma
- It’s 25 years since Stellah dumped Mwamburi
- Leo trh 17/05 ni siku ambayo Stellah alirudi kutoka Japan na mchumba wake mwenye urefu wa futi 4
Sikiliza wimbo wa ''Stellah Wangu'' wenye kisa cha kusisimua