KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Najisikia aibu kuitwa mkristo kama viongozi wenyewe ndio hawa ?.
Soma kibao cha mchugaji wako kimeandikwa SENGE REMA.
Najisikia aibu kuitwa mkristo kama viongozi wenyewe ndio hawa ?.
YESU ndiye mchungaji MWEMA yeyote amfuataye hatapotea kamwe.Waumini Wanatoa Sadaka Zao Kwa Shida Huku Wakijifunga Mkwiji Wao Wanazitumbua Tu Kwa Kujipendekeza. Kumbe Sikukosea Kuacha Kusali Huko Makanisani Na Kuamua Tu Kugeukia Kusali Kwa Miungu Yangu Ya Kizanaki / Kitutsi Na Kiyao Kwani Hainiombi Sadaka Na Inanibariki Kuliko Hata Huko Kwa Hao Wanafiki.
Kama na wewe mna umoja wenu m-pm mtumiwe nauli na hela ya chakula na malazi, pia hela mtakayompa ili akachukulie form.Hivi John Okello wewe ni nani kwa EL?? Samahani ningependa kujua tu mkuu...wala sina nia mbaya kuuliza
Wakiongozwa na mpambanaji Pasco.Kesho nasikia ni zamu ya wana jf kwenda kwa EL
y January Makamba Nafasi ya Urais ni nafasi ya hadhi na heshima kubwa. Unapoiomba hupaswi kufanya michezo ya kuigiza. Huu utaratibu wa kuratibu watu, kuwasafirisha, kuwapa posho na ubwabwa waje kukuomba kugombea ni michezo ya kuigiza ambayo ni aibu kubwa.
Kila mgombea ana uwezo wa kutengeneza WATU wa kumuomba kugombea lakini wengine hatufanyi hivi kwasababu tunaheshimu nafasi tunayoiomba na tunaamini kwamba haipaswi kutafutwa kwa ulaghai na maigizo.
Ni aibu sana kutumia shida na njaa za watu kisiasa. Ni aibu sana kukusanya vijana na wazee wa watu na kuwapangia viti na mahema na kuwapa pesa halafu pesa na kuwapiga picha. Ukiona mtu anatafuta nafasi ya uongozi kwa ujanja na ulaghai ujue atatawala kwa ujanja na ulaghai.
Viongozi wanaokubalika na watu hawangaiki kupanga Viti na mahema na kuwapiga picha watu wanaowakubali.
Mgombea anayehaha na kutumia pesa nyingi kuonyesha anakubalika ukweli ni kwamba hajiamini. Kama unakubalika huwezi kuratibu makundi na kuyalipa na kuwapiga picha na kuita waandishi wa habari waje kushuhudia. Hizo ni mbinu za mfa maji.
Naamini Chama changu hakitatishwa na nguvu za maigizo. Tunataka uongozi safi unaomuogopa mungu. Tunataka uongozi wenye uadilifu na fikra mpya za kuisogeza mbele Tanzania. Tunataka viongozi watakaomaliza shida za Watanzania sio wanaozitumia shida hizo kisiasa.
Hata Mzee Makamba, pamoja na umri wake wa miaka 75, leo akiwa na pesa za kumwaga anaweza kutengeneza makundi yakamuombe kugombea Urais.
Ifike mahali katika nchi yetu tuache hii michezo. Tukiendelea na mambo haya, tunatengeneza taifa linaloendeshwa kwa propaganda tu. Watu wanaotaka kuomba nafasi ya Urais wanapaswa kuwa na ujasiri na wanapaswa kujiamini na kusema wanataka nafasi hiyo na wana fikra gani mpya bila kutumia pesa kuonyesha kwamba wanagombea kwasababu wanahitajika na watu. Uongozi thabiti na shupavu hautokani na michezo ya kuigiza.
January Makamba
Rumors are carried by haters, spread by fools, and accepted by ------.' Good morning Lowasa's ------ haters
January makamba aache kubwabwaja, huu uhuni unaofanywa na Lowassa ndiyo uliofanywa na Kikwete, ukiratibiwa na January Makamba mwenyewe. Anatia kichefuchefu anapokaa chini na kuiponda mbinu inayotumiwa na mwenzake, huku akijua kwamba alifanya hivyo pia kumpitisha Kikwete.y January Makamba Nafasi ya Urais ni nafasi ya hadhi na heshima kubwa. Unapoiomba hupaswi kufanya michezo ya kuigiza. Huu utaratibu wa kuratibu watu, kuwasafirisha, kuwapa posho na ubwabwa waje kukuomba kugombea ni michezo ya kuigiza ambayo ni aibu kubwa.
January Makamba
Ndo umeamdika nini sasaNi huyu msemaji wa Wachungaji wa Pentekosti walioenda dodoma nyumbani kwa el kumrecharge aongeze nguvu za kugombea urais.
Kulikuwa na sababu gani yeye kama kiongozi wa dini kusema mh huyu ni waziri mkuu msaafu badala ya waziri mkuu mjiuzulu (pm emaritus).?
Kachangiwa sadaka kutoka madhabahuni kwa Bwana aende kusema uongo? Bwana Yesu alishatuasa katika maandiko matakatifu Wachungaji wa mishahara na manabii wa uongo tuwe macho kipindi hiki.
Ndo umeamdika nini sasa
nyinyi hamna hoja mpya... Mnatapa tapa...