Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,617
- 5,646
Mkuu popote ulipo agiza mzinga nitapita kulipa!Ni aibu sana kutumia shida na njaa za watu kisiasa. Ni aibu sana kukusanya vijana na wazee wa watu na kuwapangia viti na mahema na kuwapa pesa halafu pesa na kuwapiga picha. Ukiona mtu anatafuta nafasi ya uongozi kwa ujanja na ulaghai ujue atatawala kwa ujanja na ulaghai.
wapi sasa hivi mkuu!Sioni wa kumzuia Edo kuwa mgombea kwa ticket ya chama chake!... January, Sumaye, Sitta, Membe et al wajipime kisha wapite kuhesabiwa... Nyota ya Lowassa inang'aa...
mkuu maccm yana hazina kubwa sana ya viongozi!!Maccm hayana mgombea zaid ya Lowassa
alishakamatika mkuu!!Urais 2015 Lowassa hakamatik
Natamani hii kauli yako ihamie upande wa pili alipo sasa hivi!!Dah,sasa ndo nimeamini kwa sasa hakuna wa kumzuia Luwasa pale Ccm,I was underestimating him
Aaaa!! wapi.Lowasa ndiye Rais, ndugu yangu. Kwa mtu mzima lazima uwe na macho ya kuuona mwisho kabla ya hata huo mwanzo hujauanza.