Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

View attachment 267927Au Mungu akuitikia dua zenu?Sasa tuwaombee awa aliowateua yeye..
DSC_0840.JPG
 
Wameumbuka, ni aibu kiasi gani wameiingia? Wanaonekanaje in front of public? Hii inaonyesha ni kiasi gani hata wachungaji wa kondoo za Bwana wasivyoweza kutafakari hadi kufikia hatua ya kumuunga mkono mtu anayeonekana dhahiri mbele ya jamii si mwadilifu. Inaonyesha na wao ni waganga njaa tu. Wanalolihubiri na wanayoyatenda ni vitu viwili tofauti. Chezea pesa wewe....!!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy::A S-cry:
 
ndo maana siku hizi wamekua kimya,washajua lolote laweza kutokea na wakaumbuka....
 
Siku zote viongozi wa dini wajifunze kusimama katika ukweli
Na wawe wanajaribu kujipa muda wa kufikiri sio kukulupuka. Na haya ndio makosa mengi sana wanayo yafanyaga viongozi wa dini
Utasikia mara ametumwa na mungu na ikafikia wakati huyo bwana waka mfananisha na mtume yako wapi sasa.
 
hivi mtu kutumia gharama zote hizo kuanzia kwenye kutangaza nia, kuchangia makanisa, kuhonga wanafunzi Wa vyuo vikuu Dodoma kwenda kumshindikiza angombee urais, Boda Boda kutoka iringa eti na wao wanamshindikiza pamoja na wachungaji bila kumsahau askofu gwajima hivi kweli watanzania ni haki mbele za Mungu kumpa kula huyu mtu tutafakali na tuchukue hatua kuna nini huko!!!!
 
Ni aibu sana kutumia shida na njaa za watu kisiasa. Ni aibu sana kukusanya vijana na wazee wa watu na kuwapangia viti na mahema na kuwapa pesa halafu pesa na kuwapiga picha. Ukiona mtu anatafuta nafasi ya uongozi kwa ujanja na ulaghai ujue atatawala kwa ujanja na ulaghai.
Mkuu popote ulipo agiza mzinga nitapita kulipa!
 
Hawa mapadri walikuwa wanaona mbali sana,kama si ubishi wa mazee ya ccm leo taifa hili lingekuwa hivi lilivyo.
 
Back
Top Bottom