Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Leadership vacuum, ukiona taasisi ina kiongozi wa juu na katika nafasi yake sio official spokesperson jua utamaduni wa kufanya mambo hovyo pia ndio mwanzo wa mambo kama haya; on those lines vyama vya siasa ovyo, taasisi za dini ovyo.
Nchi zingine vunja utamaduni wa kufanya mambo katika kiwanda cha kutengeneza box tu ajira inaota mabawa hivihivi; by the time unafikia kwenye hizi taasisi za dini wachungaji are expected to stay in line with official tenets of doing things.
Hivi hawa wachungaji na masheikh awana viongozi kwenye taasisi zao na wao wanasemaje kuhusu haya maswala maana kama vile yanaonekana yanabaraka ya Taasisi nzima; only in Afrika ndio maana kutwa kucharazana na machete utaratibu wa kufanya mambo aueleweki ingawa hupo kwenye maandishi lakini aueshimiki meaning most of these institutions are weak or leaders who cant command.
If you dont stand for something you will fall for anything; ndio maana nina amini despite his other weaknesses bwana Mbowe is a natural commander upuuzi wa kujianzia CDM auvumiliwi be it kimisingi ya mila zao zenye element za kaskazini.
Nchi zingine vunja utamaduni wa kufanya mambo katika kiwanda cha kutengeneza box tu ajira inaota mabawa hivihivi; by the time unafikia kwenye hizi taasisi za dini wachungaji are expected to stay in line with official tenets of doing things.
Hivi hawa wachungaji na masheikh awana viongozi kwenye taasisi zao na wao wanasemaje kuhusu haya maswala maana kama vile yanaonekana yanabaraka ya Taasisi nzima; only in Afrika ndio maana kutwa kucharazana na machete utaratibu wa kufanya mambo aueleweki ingawa hupo kwenye maandishi lakini aueshimiki meaning most of these institutions are weak or leaders who cant command.
If you dont stand for something you will fall for anything; ndio maana nina amini despite his other weaknesses bwana Mbowe is a natural commander upuuzi wa kujianzia CDM auvumiliwi be it kimisingi ya mila zao zenye element za kaskazini.