Ni kweli mkuu, leo Trump anapongezwa huku uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa sarakasi tupu viongozi wa kiafrika we acha tu!!wakati wengi wao kwao wameiba kura ama kulazimisha matokeo
Ni kweli mkuu, leo Trump anapongezwa huku uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa sarakasi tupu viongozi wa kiafrika we acha tu!!wakati wengi wao kwao wameiba kura ama kulazimisha matokeo
yaani mkuu huyo jamaa amenivunja mbavu anasema typing hela yaani hii lugha wengi wetu kama sio wote hatuijui na sababu kubwa ni mfumo wa elimuHela za Escrow ama nn
wewe hata kiswahili unatatizo nacho ktk muda wote wa kukaa shule neno luga uliliona wapi sahihi ni lugha mkuu,Inategemea ni sehemu gani...kwakiasi kikubwa na kubaliana na wewe kwenye umakini lakini siyo kwenye kujua au kutokujua luga...By the way tweet sidhani kama ni official communication hiyo iko private zaidi japo huwezi kutofautisha personality ya Mh. Na nafasi yake...
Kinachonikwaza ni huu ushamba wa kutaka kufanya english superior kuliko luga yetu ya Taifa na watu kuwa sensitive for nothing...kwangu mimi leo Rais yeyote yule duniani akiandika kwa luga ya kiswahili kutoa ujumbe wake private na ionekane inatoka kwake na siyo ofisi akaandika kiswahili broken nitamheshimu sana kwani ameonyesha thamani ya luga yetu na kutuheshimu sisi kwakutambua utamaduni wetu hivyo kututumia ujumbe wa luga yetu tunayoielewa...ajabu huoni hiyo prestige kwa watanzania..tunaona kiingereza ndiyo kipimo cha elimu na ufahamu wetu wa mambo na ipo hivyo hata ku ajiri watu kiasi ambacho tumepoteza watu muhimu sana ambao wangeweza kuzifanya kazi vizuri zaidi kuliko ya ku communicate, ndiyo maana kuna public relation officers na poa extension officers...English is not science is just a language like any other...
Umakini wa kuandika unategemea upo wapi...niandikavyo JF siyo sawa na nikiandika article kwenye web of science...hapa vingine ni kuondoa stress...yaani edu-entertainment
Mimi nadhani salamu hiyo ya Mh. Means a lot kwa mwenzake maana ataona aliandika kwa mkono na utashi wake na siyo osfisi au assistant wake...Direct from his heart...hilo ni la msingi sana...leo mimi Magu akiniandikia message kwa mkono wake na siyo ofisi nikajua ananifahamu in person is more valuable kwangu kuliko official communication let say kunipongeza kwa jambo fulani...uzito wa ujumbe kutoka simu yake na kwa luga yake huo utakuwa na uzito mkubwa kuliko hizo official communication ambazo anybody can do in his name...hiyo context watqnzania hao myopic na wenye utumwa akilini hawaioni...hiyo ndiyo bahati mbaya yetu...We do not think critically tupo tu shallow minded..
kwel kiongoz asa c asahhshe kama mkuu wa kaya alvofanya??yaani mkuu huyo jamaa amenivunja mbavu anasema typing hela yaani hii lugha wengi wetu kama sio wote hatuijui na sababu kubwa ni mfumo wa elimu
Nadhani Makada mliokua hamjaona kwenye tweet ya mwanzo mtakua nje kidogo ya JF. Asante Mheshimiwa Rais Magufuli (PhD) kwa Kurekebisha. Kumbe na Wewe unashinda JF kama akina miss chagga Nyani Ngabu Evelyn Salt shunie Valentina
Ilikuwa hivi:
View attachment 431541
Kaifuta na kuiweka hivi:
MARAIS WA AFRICA NA WATU MAARUFU WALIOMPOGEZA TRUMP.
Teh,teh,teh,teh,endelea kutetea ni wewe tu ndio unaamini mtu wa kiwango hicho anaweze kuandika hivyo kukose ni issue nyingine lakini kuandika huku ukiwa na maana tofauti ni suala tofauti kabisa.hapo maji yalizidi unga.Mkuu, PhD si kigezo cha ufasaha wa lugha na uandishi ama kutofanya makosa.
Sisi wote are bound to make mistakes!
Kwani level ya PhD ni kujua kila kitu?
Inategemea ni sehemu gani...kwakiasi kikubwa na kubaliana na wewe kwenye umakini lakini siyo kwenye kujua au kutokujua luga...By the way tweet sidhani kama ni official communication hiyo iko private zaidi japo huwezi kutofautisha personality ya Mh. Na nafasi yake...
Kinachonikwaza ni huu ushamba wa kutaka kufanya english superior kuliko luga yetu ya Taifa na watu kuwa sensitive for nothing...kwangu mimi leo Rais yeyote yule duniani akiandika kwa luga ya kiswahili kutoa ujumbe wake private na ionekane inatoka kwake na siyo ofisi akaandika kiswahili broken nitamheshimu sana kwani ameonyesha thamani ya luga yetu na kutuheshimu sisi kwakutambua utamaduni wetu hivyo kututumia ujumbe wa luga yetu tunayoielewa...ajabu huoni hiyo prestige kwa watanzania..tunaona kiingereza ndiyo kipimo cha elimu na ufahamu wetu wa mambo na ipo hivyo hata ku ajiri watu kiasi ambacho tumepoteza watu muhimu sana ambao wangeweza kuzifanya kazi vizuri zaidi kuliko ya ku communicate, ndiyo maana kuna public relation officers na poa extension officers...English is not science is just a language like any other...
Umakini wa kuandika unategemea upo wapi...niandikavyo JF siyo sawa na nikiandika article kwenye web of science...hapa vingine ni kuondoa stress...yaani edu-entertainment
Mimi nadhani salamu hiyo ya Mh. Means a lot kwa mwenzake maana ataona aliandika kwa mkono na utashi wake na siyo osfisi au assistant wake...Direct from his heart...hilo ni la msingi sana...leo mimi Magu akiniandikia message kwa mkono wake na siyo ofisi nikajua ananifahamu in person is more valuable kwangu kuliko official communication let say kunipongeza kwa jambo fulani...uzito wa ujumbe kutoka simu yake na kwa luga yake huo utakuwa na uzito mkubwa kuliko hizo official communication ambazo anybody can do in his name...hiyo context watqnzania hao myopic na wenye utumwa akilini hawaioni...hiyo ndiyo bahati mbaya yetu...We do not think critically tupo tu shallow minded..
Rais akijua na kukubali kwamba urais ni taasisi, makosa ya namna hii hayawezi kijitokeza.Unapowasiliana na mtu ni vyema kutumia lugha inayoeleweka vizuri kwa mlengwa/walengwa. Hii inahusisha uandishi sahihi na matamshi sahihi unapoongea. Kwa kiongozi wa nchi hatarajiwi kuonesha udhaifu katika haya, hata kama ikibidi kusaidiwa.
Hahahahah labda walimtuma akawakilishe !!!!!View attachment 431989 mwingine huyu
hawezi kumshangaa.. kiingereza sio lugha mama kwake magufuli. labda kama malkia wa uingereza angeandika hivo ndo angemshangaa.Kwa nini wasaidizi wake wasiwe wanamwandikia ndiyo anaposti, Trump atamshangaa sana
Ha haa jamani....halafu unakuta hata akihutubia kwa kiswahili anachomeka maneo mengi ya kiingereza. Huwa inakera maana sio kiswahili wala kiingreza fasaha.
Atamshangaa nini sasa?! Kwani dunia nzima wanazungumza kingereza?! Tena ashukuru Raisi wetu anajitahidi, huyo Trump hata salamu kwa kiswahili anajua?! Cha msingi Trump awe tu na wakalimani.Kwa nini wasaidizi wake wasiwe wanamwandikia ndiyo anaposti, Trump atamshangaa sana
hata kiswahili ukikosea unakuwa umepotosha watu wengi kama vile ajiri uandike"ajili"i will be happy hamna kitu nachotamani kama kurejea shule.. kwenye kiswahili r na l huwa vinanitatiza but sioni taabu maana kiswahili upande wangu nakimudu kwenye mawasiliano ya kuongea kwa njia ya matamko... the kubwa kwenye english ukikosea herufi ujue umepotosha uma namaanisha uma wa watu wengi mno