Baada ya Malalamiko ya WanaJamiiForums, Rais Magufuli aandika kwa Usahihi kumpongeza Trump

Kiingereza, Kiingereza (Kenya wanaikiita Kizungu, kana kwamba Wazungu wote wazungumza Kiingereza!) f........off. Nitamsifu saana aki master Kinyaturu kuliko English. Na ajitafutie mkalimani na mwandishi yatosha.
Utaona viongizi wa Africa wanaojua saaaana Kiingereza/Kifaransa wako hopeless. Why? Kwa sababu wamemaliza umri wao wote kujifunza lugha ili waonekane wana elimu....kumbe eimu ni kitu kingine.
 
Hiyo yako Phd sijaisikia.
Ni shahada ipi hiyo?
Ninayoifahamu mimi ni PhD. Hiyo yako ya Phd Magufuli hana.
Yeye ana PhD.
Ile yako ya Phd inapatikana chuo kipi ili nikaongezee na yangu?
Umjaaliwa akili ya 1;4,lakin hukujibu swali
Kwa andiko lako yaonyesha wewe ni wale Pangaboi anawaita vu.la.za
 
hata kiswahili ukikosea unakuwa umepotosha watu wengi kama vile ajiri uandika "ajili"
Niambie Ajili inakuwa imepotosha nini ndani ya Sentensi yangu ukizingatia wewe hapo tu umenielewa hapo hapo bila simanzi..

In English nikikuuta Gay badala ya Guy nitakuwa nimekukosea binafsi na na sio kimaandishi... hapo ndio utafauti mkuu ulipo kwenye English kuliko Kiswahili...
 
Niambie Ajili inakuwa imepotosha nini ndani ya Sentensi yangu ukizingatia wewe hapo tu umenielewa hapo hapo bila simanzi..

In English nikikuuta Gay badala ya Guy nitakuwa nimekukosea binafsi na na sio kimaandishi... hapo ndio utafauti mkuu ulipo kwenye English kuliko Kiswahili...
mkuu neno ajili lina maana tofauti na neno ajiri.kwa mfano huwezi litumia neno ajiri katika nusu sentensi ifuatayo: KWA AJIRI YA
 
Niambie Ajili inakuwa imepotosha nini ndani ya Sentensi yangu ukizingatia wewe hapo tu umenielewa hapo hapo bila simanzi..

In English nikikuuta Gay badala ya Guy nitakuwa nimekukosea binafsi na na sio kimaandishi... hapo ndio utafauti mkuu ulipo kwenye English kuliko Kiswahili...
Mkuu neno "ajili" lina tofauti ya ki maana kati yake na neno "ajiri"kwa mfano.Huwezi kulitumia neno "ajili"kama ifuatavyo katka nusu sentensi hii:UME AJILIWA na badala yake ungelitumia hili :UME AJIRIWA.Vilevile huwezi kulitumia neno AJIRI katika nusu sentensi ifuatayo:UME SAJIRI,KWA AJIRI YA ...
 
Tatizo la waalimu wetu wa luga...na ni tatizo la taifa....lakini pia siyo kwamba hatu communicate...we do in our own ways...Nigeria pia wamekuja na luga yao, wahindi hivyo hivyo...matokeo ya ukoloni
luga ni jitu gani hilo mkuu
 
Kulikuwa na haja kukurupuka kutweet?. Hivi hii falsafa ya ukurupukaji Mimi nilidhani inatumika humu ndani tu,kumbe mnivusha across the borders! Ona sasa tulivyoaibika in the International forum
 
Back
Top Bottom