johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Nauliza tu kwa nyie makamanda mliomo humu jamvini, baada ya komandoo wa kupambana na ufisadi hayati Magufuli kumaliza safari yake hapa duniani, CHADEMA itairudia ile sera yake ya kupambana na mafisadi?
2015 CHADEMA waliachana na sera ya mafisadi baada ya kuwapokea makada maarufu wa CCM wakiongozwa na mzee Lowassa, Mzee Sumaye na rip Ngombale mwiru.
RIP Magufuli!
2015 CHADEMA waliachana na sera ya mafisadi baada ya kuwapokea makada maarufu wa CCM wakiongozwa na mzee Lowassa, Mzee Sumaye na rip Ngombale mwiru.
RIP Magufuli!