Kitakachofuata ni kusema heri shari kamili kuliko nusu shari . Then we implement what Tunisia&Egypt have already done. We have that big heart to do it !
MushyNoel, tatizo litabaki moja tu!! baada ya hapo (aftermath) tutaishije? maana kidogo tulicho nacho tutakua tumegawana kama sii kuchoma moto. Wenzetu Tunisia na Egypt wana pa kuanzia. Tunisia wana mafuta kiasi, Egypt wana Suez Canal piga ua lazima meli zipite ukiachia mbali vyanzo vingine vya mapato. Sisi bado tunatarajia wahisani ambao nao wako mbioni kuivamia Libya kwa sababu wataiba mafuta kulipia gharama za uvamizi wao, je, ni nani atakuja kutuamulia sisi? inabidi tupate taarifa za kiintelijensia kabla ya kuanza shughuli hiyo.