GE2025 Baada ya Maandamano, Rais atakuwa Mange Kimambi?

GE2025 Baada ya Maandamano, Rais atakuwa Mange Kimambi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Akili za machawa bana, yani wanajua kila mtu akiongea haki anataka madaraka, kwa kuwa sisiemu na madaraka ni kama mchawi na tunguli.

Watu wengine wana causes zao tu wanafanya vitu na kuendelea na maisha yao chawa!
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 

Attachments

  • IMG_0112.jpeg
    IMG_0112.jpeg
    272.6 KB · Views: 11
Baada ya Oktoba 29 Jeshi litachukua nchi kuongoza kwa kipindi cha mpito na kutupatia Katiba Mpya.
 
Hebu muwe serious jamani prominent figure ni nani ambaye mtamkabidhi nchi baada ya mama yetu msikivu, mwenye utu na asiye na makandokando kurudi Kizimkazi?
Kwani akikabidhiwa Mwiguru au Majariwa kuna tatizo? Mtanzania yoyote mahiri anaweza kukabidhiwa nchi. Au wewe umefikira nini mpaka ukamtaja Mange.
 
Mange Kimambi ataiendesha nchi kama Instagram account.
Usishangae kwamba kuna wavimba macho wengi wanamuamini.Mange amekuwa think tank ya wajinga wengi sana.Hawajadili anachokiandika bali wanakichukulia katika face value. Hamna critical thinking.
 
Usishangae kwamba kuna wavimba macho wengi wanamuamini.Mange amekuwa think tank ya wajinga wengi sana.Hawajadili anachokiandika bali wanakichukulia katika face value. Hamna critical thinking.
Mbumbumbu wengi wa Bongo country ni wafuata mkumbo.
 
Amini amini nawaambieni, kama Samia kaweza kua Rais licha ya uwezo mdogo wa kiakili na kupembua mambo, hata Kingwendu anaweza kua Rais kwa Nchi hii.
 
Back
Top Bottom