Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,235
- Thread starter
- #41
Huo utaratibu wa sehemu za kukutana ulizozitaja ni wa kwako na ukoo wenu na mchungaji wako. Huku kwenye ulimwengu huru hatujajifunga na desturi unazozielewa kwa upeo wako.Mwanamke wa ndoa huwa hatangazwi kwenye mitandao ya kijamii, redio, Tv wala forum aina yeyote. Ni kumwomba Mungu utakutana naye popote, yaonekana wewe unataka kuchezea akina za wanawake