Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,929
- 20,169
Domo zege utawajua tu
Thread yangu sio ya chitchat. plzUko vizuri ngoja nije PM. Miss Natafuta nataka kujilipua kwa huyu mtu nimependa urefu wake, na suti yake hasa miwani
Ndio. Sitaki.Mbina unakuwa mkali! au ndio hutaki nije huko PM.
Nimeshuhudia ukitumia hilo neno empty set mara nyingi unapotofautiana na wengine kimawazo.Kwaiyo na huu uzi unataka ufike page ya ngap? Empty set
Mambow!!Wanakuja mkuu wapenda viben10
Alishasema hilo ni jina tu, sio kwamba hana mwanaume/wanaume.Cc miss natafuta
....advance kwa ajili ya huyo sugar mamy au? ....dogo watamwagika wengi humu halafu wataikula yote hiyo advance...Nahisi Uzi ujao utakuwa unahusiana na majuto ya kuchoma Salare....Hapa nilipo nakujibu nipo kazini, na alhamisi nachukua salary advance
daahWanakuja mkuu wapenda viben10
Yalijajibiwa=XMkuu usipotoshe kabisa....swali lako na mengine yanayofanana na hayo yalijajibiwa kwenye: Nawapenda wanawake watu wazima"....rejea huo uzi otherwise uko hapa kuspam.
So trueNimeshuhudia ukitumia hilo neno empty set mara nyingi unapotofautiana na wengine kimawazo.
Haujui kila kitu na tunatofautiana ili kutengeneza uwiano. Usijisahau sana hizo dharau zako za kike achana nazo. Naona kuna baadhi ya mashosti zako wanakupa sifa basi naona bichwa linajaa mpaka unajisahau na kuanza kuleta dharau kwa kila mtu.
Jifunze kuheshimu mawazo ya wengine itakusaidia sana.