Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,235
*Mod kwenye title, naomba edit: "natanganza" iwe "natangaza". Thanks
Habari zenu,
Majuzi nilieleza kwanini napenda Mwanamke mtu mzima, na kwakweli niliwekwa kikaangoni na kumjibu kila mmoja kwa umakini, hadi thread ikafika page ya 9 bila tusi lolote, bali yalikuwa ni malumbano ya hoja, nikitetea uamuzi wangu na kuzifutilia mbali tafsri potofu za kijamii dhidi ya wapenzi wanaozidiana umri, na kutetea haki ya kijana wa umri mdogo kuwa na mpenzi mtu mzima, na kwakweli, hatimae, nikaeleweka..
Sasa, rasmi, natangaza kwamba NATAFUTA MWANAMKE ANAYENIZIDI UMRI AWE MKE WANGU. Sitarajii maswali yale yale yaliyoulizwa kwenye uzi ule yajirudie hapa, itakuwa ni kutokustraabika na kujitoa akili kwa kiwango cha juu mno, nakaribisha maoni na changamoto mpya.
Wewe dada wa makamo, umri kuanzia miaka 31 hadi 40, kama uko hapa au utaambiwa, mimi ni kijana wa miaka 30, na ni ndoto yangu kuoa Mwanamke anayenizidi umri. Nakuomba usogee PM tuongee. Naahidi kukupenda na kukulinda, kwa moyo wangu wote, kwa afya au magonjwa...hadi kifo.
Asanteni.
Mkuu huo msamiati na mingine inayofanana na hiyo ilizikwa rasmi kwenye uzi uliopita. So please.Wanakuja mkuu wapenda viben10
Mkuu swala langu halihusiani na vyuma kukaza au kulegeza. Plz kuwa mstaarabu.JAMANI HIZI NAMNA NYINGI ZA KULEGEZA VYUMA HAZIFAI
Mkuu swala langu halihusiani na vyuma kukaza au kulegeza. Plz kuwa mstaarabu.
Mkuu usipotoshe kabisa....swali lako na mengine yanayofanana na hayo yalijajibiwa kwenye: Nawapenda wanawake watu wazima"....rejea huo uzi otherwise uko hapa kuspam.kupenda watu wa Zima ni dhana ya "Superiority". Vijana wadogo siku hizi hujihisi kuheshimika wanapokuwa "wanaume" wa wakubwa zao. Hali hii imeshika kasi sana na ndio maana unakuta vijana shuleni/vyuoni wanapenda kuwatongoza walimu wao ili wavimbe vichwa!
Hapa nilipo nakujibu nipo kazini, na alhamisi nachukua salary advanceha ha ha! Nakuelewa, usikwazike bwana, ni kawaida, ila sio njia nzuri ya kulegeza ndugu! Fanya kazi kwa bidii
haina haja baada ya kumpata mlengwaKwaiyo na huu uzi unataka ufike page ya ngap? Empty set
Uwe tayari kulea na watoto wake.*Mod kwenye title, naomba edit: "natanganza" iwe "natangaza". Thanks
Habari zenu,
Majuzi nilieleza kwanini napenda Mwanamke mtu mzima, na kwakweli niliwekwa kikaangoni na kumjibu kila mmoja kwa umakini, hadi thread ikafika page ya 9 bila tusi lolote, bali yalikuwa ni malumbano ya hoja, nikitetea uamuzi wangu na kuzifutilia mbali tafsri potofu za kijamii dhidi ya wapenzi wanaozidiana umri, na kutetea haki ya kijana wa umri mdogo kuwa na mpenzi mtu mzima, na kwakweli, hatimae, nikaeleweka..
Sasa, rasmi, natangaza kwamba NATAFUTA MWANAMKE ANAYENIZIDI UMRI AWE MKE WANGU. Sitarajii maswali yale yale yaliyoulizwa kwenye uzi ule yajirudie hapa, itakuwa ni kutokustraabika na kujitoa akili kwa kiwango cha juu mno, nakaribisha maoni na changamoto mpya.
Wewe dada wa makamo, umri kuanzia miaka 31 hadi 40, kama uko hapa au utaambiwa, mimi ni kijana wa miaka 30, na ni ndoto yangu kuoa Mwanamke anayenizidi umri. Nakuomba usogee PM tuongee. Naahidi kukupenda na kukulinda, kwa moyo wangu wote, kwa afya au magonjwa...hadi kifo.
Asanteni.
Hilo nalitarajia na sio tatizo kabisaUwe tayari kulea na watoto wake.
Sawa mkuu. Japo namsubiri ajitokeze mmoja tu wa dhati tuyajenge...hivyo ukisema watakuja, hapa sio mnadani.Duh! si mbaya lakn wapo watakuja wengi tu
Hapa nilipo nakujibu nipo kazini, na alhamisi nachukua salary advance
Nimeona wewe ni mtu wa majungu. Kwaheri na upambane na hali yako. Au wacha nibonyeze kitufe pendwa kabisa cha "Report"NDO MAANA YAKE NAKWAMBIA VYUMA VIMEKAZA, KUFANYA KAZI SIO KULEGEA NA KUCHUKUA ADVANCE SALARY INA MAANA KWAMBA YA MWEZI ULIOPITA IMESHAISHA, USIJALI NI KAWAIDA!
Nimeona wewe ni mtu wa majungu. Kwaheri na upambane na hali yako. Au wacha nibonyeze kitufe pendwa kabisa cha "Report"
Sawa nimkusikia. Asante sana. asubuhi njema.Fanya unavyojisikia, UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI, Tafuta namna nzuri ya kulegeza Vyuma, nje ya hapo wewe wajiuza kama Dada wa Sinza tu
Ndio
Ni wewe huyo kwenye avatar yako?