Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,236
Picha huongea zaidi kuliko maneno matupu , jionee mwenyewe .
😂😂😂🥴 Noma sanaHuyu kahutubia nyasi!!
😆😆😆😆Huyu kahutubia nyasi!!
SHAZI LA KUFA MTU AISEEEEE
Ni kweli ndio maana watu wamekanyagana utadhani mafuta ya Mwamposa .Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
si umeona umati ?Sijaelewa, huko kukanyagana vipi?
Mbona ni kama sio wa kukanyagana.?si umeona umati ?
Hahaaaaaa............ 😁 😆si umeona umati ?
Kunywa maji lita moja pumzika ndugu Rwaka pressure isikumalizeAlichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Nyumbu ni CCM kwani hata mbugani nyumbu huwa ni wengi kuliko wanyama wengine, Rwakatare kasema ukweli mtupu kwa mtu fala pekee ndiyo ataona ni ukweli mtupu, Akili zake mwenyewe ndizo zimejaa plastic na kamasi za kujaa sufuria mbili za Gongo, Lwakatare ni mshamba sana anawezaje kujua aliye na Akili na asiye na Akili wakati yeye mwenyewe hana Akili ni juha wa kutupwa, kama Rwakatare ndiyo baba wa siasa huko bukoba ni Aibu kwani bukoba yote ni vilaza kuliko Rwakatare?Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
....pamoja na mitiHuyu kahutubia nyasi!!