Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,557
- 217,843
- Thread starter
- #121
Gharama ya kununuliwa si ya kitotoMzee wetu badala aupumzike home acheze na wajukuu sasa njaa inamuaibisha!!
Gharama ya kununuliwa si ya kitotoMzee wetu badala aupumzike home acheze na wajukuu sasa njaa inamuaibisha!!
Huyu kahutubia nyasi!!
Mji gani huo? Rwakatare siyo mjanja ni mshamba fulani hiviLwakatare ni mtoto wa mjini.hajawai shindwa siasa za Kagera.
Mbona kama Umepanic?Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare?
Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Polepole Bana!
Acha upoyoyo tutumie picha yake anahutubia
Mkuu picha imepigwa kishabiki mno, mpiga picha kakaa mbali sana. Halafu kumbe mikutano inaruhusiwa sasahivi, pia inabidi kwasisi matomaso uongeze ushahidi kuwa huo ni mkutano wa Rwakatare na si mkutano wa injili
hivi umesikia mahali Lwakatare akikanusha ?Acha upoyoyo tutumie picha yake anahutubia
Unauhakika gani kama amesoma hizi pumba zako halafu mpaka akukanushe we ni nani hapa mjini na unaumaarufu gani na unauhakika gani kama rwakatale yumu huku jfhivi umesikia mahali Lwakatare akikanusha ?
😆😆😆Unauhakika gani kama amesoma hizi pumba zako halafu mpaka akukanushe we ni nani hapa mjini na unaumaarufu gani na unauhakika gani kama rwakatale yumu huku jf
Au ndo ww ??Unauhakika gani kama amesoma hizi pumba zako halafu mpaka akukanushe we ni nani hapa mjini na unaumaarufu gani na unauhakika gani kama rwakatale yumu huku jf