Kifo cha Nyerere kilileta na kukata disco mwezi mzima
na TV zilikuwa hazitangazi chochote kingine zaidi ya msiba
kifo cha Nyerere kinamna fulani ndo 'kilianzisha' bongo fleva
watu waliboreka mno na nyimbo za huzzuni ikawa ruhusa kwa kila msaniikutunga nyimbo yake kwenda kwenye tv na redio
ndo kina Jaydee wakaibukia pia...na wengine....
kabla ya hapo hakukuwa na nguvu sana kwa mziki wa bongo fleva...
binafsi walinifurahisha Club Bilicanas.....wao walijifanya kuna 'Tamasha la kumkumbuka baba wa Taifa'
hapo ikawa fursa ya watu kula debe siku hiyo baada ya kukosa burudani karibu mwezi mzima....
mimi nilipata mateso ya kuikosa CNN kupitia CTN kwa mwezi mzima
hatareNilishapata habari ya kifo chake kabla hakijatangazwa rasmi.
Aisee nilikuwa mdogo bado nilichokuwa naona ni watu wanamuongelea na kulia lia tu nakumbuka tulikuwa tunaambiwa siku yoyote tutakufa maana iddi amini atatuvamia atuue wote
Nilishapata habari ya kifo chake kabla hakijatangazwa rasmi.
Na kabla ya kifo chake hatukutegemea kama atarudi mzima kwani tulishasikia tetesi kuwa ana ukosefu wa kinga mwilini kwa kusumbuliwa na kansa ya damu aka leukemia.
Hakuna cha zaidi ila nilisema Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Honey Faith ndio nimetoka kumwambia the boss hapo ilikuwa mshike mshikeAisee nilikuwa mdogo bado nilichokuwa naona ni watu wanamuongelea na kulia lia tu nakumbuka tulikuwa tunaambiwa siku yoyote tutakufa maana iddi amini atatuvamia atuue wote
.........plus tetesi kuwa mwaka 2000 mwisho wa dunia, ilikuwa heka heka sana kwa watotoHahahaa kweli tumetoka mbaali
Wakati huo nilikuwa ushiromboWapi huko Nanjilinji?
Honey Faith una miguu ya uchokozi mwanamke wewe. mbona visa lakini?Aisee nilikuwa mdogo bado nilichokuwa naona ni watu wanamuongelea na kulia lia tu nakumbuka tulikuwa tunaambiwa siku yoyote tutakufa maana iddi amini atatuvamia atuue wote
teh teh tehMimi wakati huo nilikuwa darasa la sita, tunaishi Musoma na Mzee alikuwa mjeshi hapo Butiama kipindi hicho, tulifurah sana kufunga shule nilikaa msibani mpak watu wote wakatawanyika ni kula na kucheza. Umenikumbusha mbali sana mkuu.
Sio miguu yangu hiyo ni avator tuHoney Faith una miguu ya uchokozi mwanamke wewe. mbona visa lakini?
nilisikia tu kwa watu ila sikutaka kujua kinachoendelea hata tv nilikuwa naangalia mda kwa kipindi cha cartoon kikianza.... nilimuwa bado mdogo.
Honey Faith I hope hautofautiani sana na hiyo avatar yako? naomba number yako ya simu? just jokin'Sio miguu yangu hiyo ni avator tu