Baada ya kutajwa na Jopo la UN; Mndolwa aondolewa Burundi!

Acheni longolongo huyu mama hawezi kufikiwa na waziri yeyote mwanamke aliyeko kwenye serikali ya sasa! Ni kichwa hasa! Nina wasiwasi na hii serikali ya kifisadi! Hizi ni mbinu za kumuondoa na kushiriki katika uchaguzi mwaka kesho! kama sikosei anatoka jimbo la Membe na ameshashtukia nguvu za huyu mama! Bumburuka mama baki hapa unapaswa kuwa waziri wewe ni kama Mh Magufuri! Tunakuhitaji

NO,

Anatokea mkoa wa Ruvuma, kama kugombea basi labda ana mpango wa kugombea huko kwao Nyasa (jimbo la Mbiga Mbiga Magharibi, sijui ni nani Mbunge wake wa sasa may be Komba).
 
mnhhh....haya bwana...hata report ya UN haijatoka officially...naona timu pinzani inaogopa na kufyata mkia....hoja ijibiwe kwanza sio kuondoa ushahidi....then atapewa post ipi mkuuu...

Kwao wanadhani hii ni mbinu kubwa! Ndo mwisho wa kufikiri kwao.

UN iliwahusisha viongozi wa juu wa chama tawala. Isije ikawa ni mwenyekiti wao na katibu mkuu wao. Uchaguzi ni mwezi kesho!
 
Kiasi inakuwa inashangaza kama mtu anapata new post akiwa na over 60, watanzania wengine hawapo? Hao vijana waliozungumziwa na JK kwamba watapewa uongozi ndio hao?
 
Acheni longolongo huyu mama hawezi kufikiwa na waziri yeyote mwanamke aliyeko kwenye serikali ya sasa! Ni kichwa hasa! Nina wasiwasi na hii serikali ya kifisadi! Hizi ni mbinu za kumuondoa na kushiriki katika uchaguzi mwaka kesho! kama sikosei anatoka jimbo la Membe na ameshashtukia nguvu za huyu mama! Bumburuka mama baki hapa unapaswa kuwa waziri wewe ni kama Mh Magufuri! Tunakuhitaji

Mkuu Geza Ulole

....ni kweli kabisa huyu Mama ni kati ya watu wachache sana serikalini walio waadilifu............Mrema (TANROADS) akimuona huyu Mama......anweza hata kujikolea............Mrema asingeweza kupata nafasi aliyonayo under Mama Sijaona watch............

.......huyu Mama ni wa "Kunyumba"...i.e. kutoka mkoa wa Ruvuma........

Ni kweli kabisa ilipaswa abakie hapa hapa.....lakini ndio siasa hizo ndugu yangu.........
 
Utumishi uliotukuka sawa, ila amestaafu huku anaenda kumpokea mwingine aliyestaafu kule...uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!

Sasaivi utasikia Mwanyika anakuwa katibu mkuu kumpokea anayestaafu, na Arthur Mwakapugi anaenda kumpokea balozi Adadi baada ya kustaafu

...kwa wakwe eehh
 
Mkuu Geza Ulole

....ni kweli kabisa huyu Mama ni kati ya watu wachache sana serikalini walio waadilifu............Mrema (TANROADS) akimuona huyu Mama......anweza hata kujikolea............Mrema asingeweza kupata nafasi aliyonayo under Mama Sijaona watch............

.......huyu Mama ni wa "Kunyumba"...i.e. kutoka mkoa wa Ruvuma........

Ni kweli kabisa ilipaswa abakie hapa hapa.....lakini ndio siasa hizo ndugu yangu.........


Mkuu huyu mama simjui..ila kwa comment zako umenifanya nianze kutafuta habari zake..maana mkuu wewe mara nyingi unatoa credibility where it is due...kwa hiyo nashawishika kuamini kwamba mama ni hardowrking.

Hivi kwa nini jamani mkulu asiamke asubuhi..aseme Masanja, haya nakutuma kaliwakilishe taifa letu huko Uswidi..aone kijana wa Sengerema nitakavyofanya shughuli pevu!

Tatizo la watoto wa wakulima hatujulikani...as a result ujuzi wetu wanafaidi wengine....

Ila nadhani its high time..Viongozi wetu waache bureacracy..wawateue vijana kwenye nafasi za ubalozi.....Tunaweza bwana.....Most of the successful diplomats in history walikwenda wakiwa vijana wadogo..
 
7138d1260704946-baada-ya-kutajwa-na-jopo-la-un-mndolwa-aondolewa-burundi-namtumbo.jpg


JK akikagua masjala hati za kumiliki ya ardhi kimila katika kijiji cha Msindo, wilayani Namtumbo jana muda mfupi kabla ya Rais kugawa hati miliki za kimila kwa wanakijiji wa Msindo.Kushoto ni Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya Makazi John Chiligati,Katibu Mkuu wa wizara hiyo Bi.Salome Sijaona na Mbunge wa jimbo la Namtumbo Mhe.Vita Kawawa.
 

Attachments

  • Namtumbo.jpg
    Namtumbo.jpg
    43 KB · Views: 99
Back
Top Bottom