Baada ya kusota sana hatimaye nuru imeonekana

Naja naja

JF-Expert Member
Sep 13, 2016
747
1,452
Baada ya kusota sana mtaani hatimaye nuru imeonekana.

Kwa kifupi nilisoma ngazi ya degree lakini sikuweza kuhitimu kutokana na masuala ya kifedha.

Misukosuko iliniandama baada ya mzazi kuumwa sana hivyo uchumi uliyumba sana hivyo nilipostpone .

Baadaye nika resume masomo hivyo hivyo kibishi lakini kwa bahati mbaya mzazi akafariki na nikajaribu kuongea na uongozi wa chuo waangalie namna ya kunisaidia lakini ikashindikana na nikakosa namna kabisa ya kuendelea hivyo nikaamua kuacha masomo na kuja mtaani kupambana.

Nilipambana vya kutosha huku na kule sana sana viwandani haswa viwanda vya Murzah two na four.

Hatimaye nimebahatika kupata mfadhiri na tumewekeana makubaliano maalum ya kurudisha fedha baada ya kumaliza masomo.

Hivyo nimebahatika kuanza taratibu za usajili chuo kingine.

Lakini alichosema atanisaidia vitu basic ambavyo ni ada na hela ya kula nikiwa chuoni.

Hii ni faraja kubwa sana kwangu .
Pia iwe mfano kwa wengine waliokata tamaa waombe kwa Mungu atawainua siku moja.
 
Sasa uende ukasome. Achana na Social Media na Mambo mengine mengi yasiyokuhusu. Ukifuata ushauri wangu huu utakuja kunishukuru baadae.
 
Baada ya kusota sana mtaani hatimaye nuru imeonekana.

Kwa kifupi nilisoma ngazi ya degree lakini sikuweza kuhitimu kutokana na masuala ya kifedha.

Misukosuko iliniandama baada ya mzazi kuumwa sana hivyo uchumi uliyumba sana hivyo nilipostpone .

Baadaye nika resume masomo hivyo hivyo kibishi lakini kwa bahati mbaya mzazi akafariki na nikajaribu kuongea na uongozi wa chuo waangalie namna ya kunisaidia lakini ikashindikana na nikakosa namna kabisa ya kuendelea hivyo nikaamua kuacha masomo na kuja mtaani kupambana.

Nilipambana vya kutosha huku na kule sana sana viwandani haswa viwanda vya Murzah two na four.

Hatimaye nimebahatika kupata mfadhiri na tumewekeana makubaliano maalum ya kurudisha fedha baada ya kumaliza masomo.

Hivyo nimebahatika kuanza taratibu za usajili chuo kingine.

Lakini alichosema atanisaidia vitu basic ambavyo ni ada na hela ya kula nikiwa chuoni.

Hii ni faraja kubwa sana kwangu .
Pia iwe mfano kwa wengine waliokata tamaa waombe kwa Mungu atawainua siku moja.
Hongera
 
Hapo inakubidi uchague chuo ambacho hakina module ngumu bila ya hivyo unaweza disco na ukajuta kupata huo ufadhili na kuingia aibu
 
Baada ya kusota sana mtaani hatimaye nuru imeonekana.

Kwa kifupi nilisoma ngazi ya degree lakini sikuweza kuhitimu kutokana na masuala ya kifedha.

Misukosuko iliniandama baada ya mzazi kuumwa sana hivyo uchumi uliyumba sana hivyo nilipostpone .

Baadaye nika resume masomo hivyo hivyo kibishi lakini kwa bahati mbaya mzazi akafariki na nikajaribu kuongea na uongozi wa chuo waangalie namna ya kunisaidia lakini ikashindikana na nikakosa namna kabisa ya kuendelea hivyo nikaamua kuacha masomo na kuja mtaani kupambana.

Nilipambana vya kutosha huku na kule sana sana viwandani haswa viwanda vya Murzah two na four.

Hatimaye nimebahatika kupata mfadhiri na tumewekeana makubaliano maalum ya kurudisha fedha baada ya kumaliza masomo.

Hivyo nimebahatika kuanza taratibu za usajili chuo kingine.

Lakini alichosema atanisaidia vitu basic ambavyo ni ada na hela ya kula nikiwa chuoni.

Hii ni faraja kubwa sana kwangu .
Pia iwe mfano kwa wengine waliokata tamaa waombe kwa Mungu atawainua siku moja.
Ke au Me?
 
Katika nchi kama yetu ingepaswa elimu yote iwe bure.
 
Baada ya kusota sana mtaani hatimaye nuru imeonekana.

Kwa kifupi nilisoma ngazi ya degree lakini sikuweza kuhitimu kutokana na masuala ya kifedha.

Misukosuko iliniandama baada ya mzazi kuumwa sana hivyo uchumi uliyumba sana hivyo nilipostpone .

Baadaye nika resume masomo hivyo hivyo kibishi lakini kwa bahati mbaya mzazi akafariki na nikajaribu kuongea na uongozi wa chuo waangalie namna ya kunisaidia lakini ikashindikana na nikakosa namna kabisa ya kuendelea hivyo nikaamua kuacha masomo na kuja mtaani kupambana.

Nilipambana vya kutosha huku na kule sana sana viwandani haswa viwanda vya Murzah two na four.

Hatimaye nimebahatika kupata mfadhiri na tumewekeana makubaliano maalum ya kurudisha fedha baada ya kumaliza masomo.

Hivyo nimebahatika kuanza taratibu za usajili chuo kingine.

Lakini alichosema atanisaidia vitu basic ambavyo ni ada na hela ya kula nikiwa chuoni.

Hii ni faraja kubwa sana kwangu .
Pia iwe mfano kwa wengine waliokata tamaa waombe kwa Mungu atawainua siku moja.
Naja naja said:
Wakuu nimefanikiwa kumaliza mwaka wangu wa kwanza wa masomo salama lakini ukiwa na changamoto nyingi ikiwemo kukosa vifaa vya kusomea kuanzia PC,drawing tools na vifaa vingine vingi.

Si hivyo tu bali kukaa na njaa siku nzima ni jambo la kawaida tu kwangu. Hali hiyo imepelekea kuniathiri kwa kiasi kikubwa kwenye masomo yangu.

Sasa nimekaa nimefikiria nimeona bora niache chuo hata kwa miaka 3 ili nikafuge kuku ili nipate pesa za kunisomesha hatimaye niweze kukamilisha ndoto yangu!

Naomba kama una ushauri wowote kuhusu hali yangu naomba unipatie au kama kuna kibarua chochote au kazi yoyote ya kusimamia naomba nipatiwe jamani hali ni ngumu sana kwangu.

Hapa nilipo nasomeshwa na mama tu. Nina mdogo wangu ana matatizo ya moyo mkubwa pia moyo una matundu pia ana matatizo ya ukuaji anatakiwa akafanyiwe matibabu nje lakini pesa hakuna.

NB: Aliyenisababishia matatizo yote haya ni president Magufuli kwa kuzuia nisipewe mkopo maana kabla ya kauli yake nilikuwa nishakubaliwa kupewa mkopo ila kauli yake ndio imenisababishia matatizo yote haya ninayokumbana nayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom