kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,059
- 4,867
Siyo ckuhz mkuu...jamaa angu mwingine aliajiriwa halmashauri flani kada ya kilimo mwaka jana nae alisota sana...mambo ckuhz chini ya huyu mtetezi wa wanyonge yamebadilika inatakiwa ajiandae kisaikolojia kwa lolote
duh mbona hii ni kali sn basi kweli mambo yamebadilika