Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 288
usinichefue ndugu yangu, mimi ni mwalimu, hadi leo hii nalia njaa tu. hawa magamba hawa, basi tuAcha udaku wewe,mimi ni mtumishi wa umma,nimewekewa mshahara tangu tar 23.kawadanganye wadogo zako