Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa sisi tufanyeje?Alishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
Mimi naona kuwa hii ndio Demokrasia...unatafuta mabadiliko mahala, in case hapatoshelezi unasonga mbele unakoona kunaeleweka!Alishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
[/CENTER]
sasa sisi tufanyeje?
Naona hata yeye amekuwa mpole sana wakati huu, baada ja kujua kuwa awezi kuishi kwa ndoto za mchana, nimependa bandiko lake la kushawishi wenzake wasiwe na maneno makali. Huu ni wakati wake na wengine kama yeye kujua ni nini hasa siasa za Tanzania.Mimi naona kuwa hii ndio Demokrasia...unatafuta mabadiliko mahala, in case hapatoshelezi unasonga mbele unakoona kunaeleweka!
Tatizo liko wapi?...Juu ya kushindwa CHADEMA, kama utaacha mambo mengine yote kuwa constant, kushindwa ni sehemu ya mchezo, maana angeshinda CHADEMA, nyie mngepoteza!
Tuwe wapole tu!
Mkuu Msanii niliona juhudi zako za chuki katika kipindi chote cha kampeni. Ni vema kwa sasa ungejiuliza ni wapi hasa ulikosea kiasi cha kushindwa kuleta mabadiliko uliyokusudia. Aidha siasa sio chuki!Wapuuzi hujadili upuuzi.
endeleeni kusheherekea kuwaibia na kuwaburuza watanzania.
Ninamsuport mwanakijiji ambaye mnamchukia
Alishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
Punguani nyie leteni issue za maana za kujadili sio huu upuuzi wenu, then ukishajua wapi anapoishi mzee mwanakijiji what next???!!! wezi wakubwa wa kura nyie!!!
Proof ya uyanenayo!!!! Nijuavyo mimi CHADEMA imekuwepo kabla ya CCJ, movement za mabadiliko zimeanza kabla ya CCJ!! Sasa unaongea nini mbona ueleweki? Usijadili mtu, jadili sera. Nadhani mliowapigia kura ili wale umewaona wanavyowaka i wish ningekuona na wewe. mhhh
Leo nina shughuli ya kwenda kushuhudia kuapishwa kwa JK hata hivyo napenda mmsome Mikhail Gorbachev hapa chini...Tufanyagaje sasa?
...If there have been mistakes, if there been miscalculations in tactics and in measures.....but did not notice that it was necessary to move more rapidly along the path of liberating ourselves from those totalitarian structures ...
Today you have a president. Tomorrow you may have another president. In any case we are all one, side by side and we shouldn't spit on each other.
Wapuuzi hujadili upuuzi.
endeleeni kusheherekea kuwaibia na kuwaburuza watanzania.
Ninamsuport mwanakijiji ambaye mnamchukia
Naona hata yeye amekuwa mpole sana wakati huu, baada ja kujua kuwa awezi kuishi kwa ndoto za mchana, nimependa bandiko lake la kushawishi wenzake wasiwe na maneno makali. Huu ni wakati wake na wengine kama yeye kujua ni nini hasa siasa za Tanzania.
Alishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
Alishabikia CCJ kabla ya kuelekeza nguvu zake Chadema... mbaya zaidi kashindwa kote huko!
Wezi wamekutana ... .... .....