sitaki hela
Member
- Oct 10, 2022
- 73
- 87
Mh, Rais ameshatoa Takwimu sahihi za sensa kulingana na vyanzo mbalimbali na utaratibu uliofuata, Sasa kilicho Baki ni jukumu la Serikali kuhakikisha inapanga bajeti yake kulingana na idadi ya watu, shida moja tuliyo nayo sisi watazania ni kupinga Kila jambo, zoezi limeisha, tuzidi kumpa kiongozi wetu moyo wa kulitumikia Taifa