Msukule unadhani anaemficha ni naniMleteni atoe ushahidi kama hajawataja mnamficha wa nini?
Inawahusu kwani nyinyi si wale wasiojulikana?Habari za majukumu wana JF.
Tunashukuru kwa kupewa updates za maendeleo ya matibabu ya Mh Tundu Lissu pamoja na gharama zake.
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua maendeleo ya matibabu ya dereva wa Mh Tundu Lissu, Kwa takribani miezi miwili sasa tangu aanze matibabu ya kisaikolojia huku Nairobi baada ya kuathirika kwa kushuhudia tukio la shambulio la boss wake live.
Tunaomba viongozi wa CHADEMA mlioko Nairobi mtujuze maendeleo yake na mpaka sasa gharama za matibabu yake yamefikia ngapi? Ikiwezekana tuambiwe fedha za matibabu yake zimetoka wapi?
Kama walivyofanya kwa mh Tundu Lissu tunaomba tena mtufahamishe maendeleo ya dereva wake na gharama zake.
Nawasilisha
Asante sanaJipime kwanza kabla ya kuuliza swari la kipuuzi kama hili
Swari la kitoto sana.Msukule unadhani anaemficha ni nani
Cdm au familia ya lissu,
Km ni cdm wanamficha mbona familia ya lissu hawajawahi kushinikiza akahojiwe?
Yupo sehemu moja na lisu na inakuaje lissu hashikizi akahojiwe?
Km ni familia ya lissu wanamficha kwa nini wanamficha unadhani,hawataki wauaji wasijulikane?
Ulishawahi kukoswa na risasi za SMG maishani kwako? Na kama wewe unaona risasi za SMG ni kitu gani sasa nwenzako at age of 25 amekoswa risasi 38 close range, yeye na Lissu walitakiwa wawe kaburini muda huu, sasa if u think this is just a simple thing for you Mungu akubariki sana. Sisi bado tunawaombea hawa watu.Foolish Rubbish! Yaani SMG ndo kitu cha ajabu maishani mwako.
Lissu yoko vizuri kichwani mnashindwa nini kumhoji Halafu mna taalamu ya kuhoji walio hai tu
Mungu ndiye mtoa hukumu kila MTU atakufa tu hata mkiua wemzenu na nyie mtakufa kwa kifo cha aina hiyoDereva anatakiwa ahojiwe kwa sababu mazingira yanaonyesha ni wazi alishiriki mpango wa kumuua Lissu. Wanaomficha si ajabu ndio waliomshirikisha kwenye hiyo dili mbovu na hawaamini kuwa dereva hatawataja. Wanamfundisha weeee cha kusema ila hawaamini atasema anachofundishwa. Wanahisi anaweza kuusema ukweli ambao utawatia hatiani. Siku za mwizi 40 tu. Kuna watu wataumbuka hii TZ.
Mungu ndiye mtoa hukumu kila MTU atakufa tu hata mkiua wemzenu na nyie mtakufa kwa kifo cha aina hiyo
Mleteni atoe ushahidi kama hajawataja mnamficha wa nini?
Mbona mnadai upelezi kwa mapovu mengi huku mnakuwa matajiri wa matusi mkiguswa penyewe au dereva alihusika???Ibilisi maccm wanyonya damu mnatapatapa mmeshindwa kumuua Lisu, maendeleo ya dereva yanakuhusu nini, Lisu yuko hai mfuateni mkamhoji
Meela hakika umesema machache lakini mazito kabisaa,Dereva anatakiwa ahojiwe kwa sababu mazingira yanaonyesha ni wazi alishiriki mpango wa kumuua Lissu. Wanaomficha si ajabu ndio waliomshirikisha kwenye hiyo dili mbovu na hawaamini kuwa dereva hatawataja. Wanamfundisha weeee cha kusema ila hawaamini atasema anachofundishwa. Wanahisi anaweza kuusema ukweli ambao utawatia hatiani. Siku za mwizi 40 tu. Kuna watu wataumbuka hii TZ.
Nimependa ulivyoandika shwali,Swari la kitoto sana.
Hayupo Nairobi wanatuzuga tu
Mbona umemsahau Kingunge, au alikuwa ni chambo tu? Na wale wanaCCM wa Kibiti, je; wamerudia halu ya kawaida?Habari za majukumu wana JF.
Tunashukuru kwa kupewa updates za maendeleo ya matibabu ya Mh Tundu Lissu pamoja na gharama zake.
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua maendeleo ya matibabu ya dereva wa Mh Tundu Lissu, Kwa takribani miezi miwili sasa tangu aanze matibabu ya kisaikolojia huku Nairobi baada ya kuathirika kwa kushuhudia tukio la shambulio la boss wake live.
Tunaomba viongozi wa CHADEMA mlioko Nairobi mtujuze maendeleo yake na mpaka sasa gharama za matibabu yake yamefikia ngapi? Ikiwezekana tuambiwe fedha za matibabu yake zimetoka wapi?
Kama walivyofanya kwa mh Tundu Lissu tunaomba tena mtufahamishe maendeleo ya dereva wake na gharama zake.
Nawasilisha