simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 379
Hyo picha bamia Bangi?
Tatizo ndugu wengi wao ni wakulima na wafugaji wa mitandaonikwa bahat mbaya fact nyingi za masuala ya kilimo mitandaoni huwa sio relevant,
Yani hii statement ina ukweli mtupu Bila ubishi wengi wetu tunafanya vitu kwa story za mtandaoni asikwambie mtu ukitaka kujua changamoto zake ingia field mwenyewe
Hao hawana tofauti na wafuga kuku wa mitandaoni akianza kukupa hesabu zake na utakachokutana nacho tofauti yani