BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,770
- 6,242
- Thread starter
- #41
Mjinga ni wewe`halafu unajiita great thinker kwanza unatakiwa uulize sio kudakia tu na kutukana watu usiowajuakama wamekutendea mema kuna wenzako wametendewa mabaya kwa hiyo jifunze kuheshim thread za watuhii habari mwenyewe karidhia niitoe ili wengine wajifunze na muhusika tuko nae ofisi moja wewe una kimuhemuhe cha nini`kisa umetendewa mema nahisi umelishwa limbwata wewe kwa kuwa man mwenye akili zake timamu hawezi andika kama ulivyoandika wewe`nahisi ndio nyie mnawakana ndugu zenu kwa ajili ya wanawake zenu`kumbuka mla nawe hafi nawe bali mzaliwa nawewanafiki ni wewe baba yako mama yako na nduguzo woteAcha ujinga na unafiki wa kuleta habari nusu nusu hapa ili tu utake kujiaminisha unachotaka kuamini! m
Watu wawili wakiachana ni lazima kua sababu, na sababu inaweza kuwa yoyote ile siyo kila Mtu lazima akwambie sababu ya yeye kumwacha mwenziwe!
Wanawake ni watu wazuri sana, na mimi ktk Maisha yangu nimekutana na Wanawake wenye roho nzuri sana na wengine kujitoa kwa ajili yangu pasipo mimi kurudisha wema wao na bado hawakunitupa na hata leo hii nikikwama bado hunichukuwa pmj na kuwa sikuwarudishia mema waliyonitendea!