Baada ya kupata ajira amkimbia mumewe

Baada ya kupata ajira amkimbia mumewe

Binti hakumpenda jamaa alitaka tu kusitirika wakat hana kaz .... muhimu jamaa aendelee na maisha mengine ila acheni kubaka mioyo ya watu
 
ndoa ndoanoooooo. lakini pia inawezekana bidada kuna vitu ambavyo havikumpendeza kwa mumewe ndio maana akaona bora akasome ili ajishie mwenyewe. wakati mwingine kumsomesha mtu sio sababu ya kumlaumu sanaaa au kuona ndio amekosea sana, yeye ashukuru anakazi hivo mwanae atakuwa na uhakiki wa matunzo. mengine wanajua wenyewe, sababu hizo wanazosema ni zile zinazoelezeka ila kiini huwa hata mchungaji aliyefungisha ndoa haambiwi.

unamtetea mwanamke mwenzako
 
Si afadhali wa Raskazone uyo kapata wa mwahako kajipatia jidume la kidigo shughuli hana kapagawa na mauno ya mdigo.
hahahahaaa! afu akamroga sasa, mana wale mwanamke ukiwa na vijipesa kidogo tu mwanaume akuendea kwa babu! doooohh
 
ahahaha ndio tanga kunani ukija leo hutatamani kuondoka
Kumbee mamafacebook ni wa tanga`hatari sana nyie wadada wa tanga”nilienda tanga siku moja tulipikiwa maharage matamu sijala tena maharage kama yale
Yaani yalikolea nazi ikawa kama sukari vile we acha tu never forgetbarabara ya 21
 
Kumbee mamafacebook ni wa tanga`hatari sana nyie wadada wa tanga”nilienda tanga siku moja tulipikiwa maharage matamu sijala tena maharage kama yale
Yaani yalikolea nazi ikawa kama sukari vile we acha tu never forgetbarabara ya 21

Tanga rahaaaaaaaaaaa mim wa tanga tena hasa
 
Hii imemtokea mwenzetu hapa ofisini kwetu na tunae jamaa alifunga Ndoa na mkewe miaka mitano iliyopita na wakabahatika kupata mtoto wa kiume ambae walikua wanamsomesha Shule fulani ya watakatifu pale Kibaha.

Kwa kuwa mke wa jamaa alikua pass mark zake si nzuri jamaa akajipinda wife akarisiti na kufanikiwa kupata divisheni ya vijana ndipo jamaa akaamua kumpeleka chuo fulani baada ya kumaliza mke wa jamaa akapangiwa ajira mkoa uleee yalikozaliwa mapenzi na mitaa yake mingi inafahamika kwa Barabara ya kwanza hadi 22 kwa sasa.

Jamaa walivyokubaliana na mkewe kwamba afanye mishemishe ya kumrejesha hapa Dar na mipango yote tayari ili wife arudi kupiga kazi Dar es salaam cha ajabu mke kamhamisha mtoto shule anayosoma na kaenda nae huko TA na kwmwambia jamaa wewe na mimi basi oa mke mwingine na usinijue kuanzia leo na huna mtoto ma mimi.

Walifunga ndoa ya kanisani ambayo baadhi ya watu kwa ujinga wanafikiri hawaachani wakati wazungu wenyewe wanaachana taarifa hizo kaletewa Mwaka huu 2015
Tumeshauri jamaa yetu tulia jenga maisha na utapata mke mwingine walausimfuatilie uila tunza meseji zote alizokutumia.

Hayo ndo mambo ya wanawake wa sasa maisha sasa kila mtu anamlia timing mwenzie ukizubaa imekula upande wako wewe mwanamume mwenzangu.Kina dada hawa ambao ni wake zetu acha kabisa kuwaaamini`kama mke ndo amefanya hivyo nani mwingine umuamini`aliesema mke si nduguyo ni kweli kabisa.

Acha ujinga na unafiki wa kuleta habari nusu nusu hapa ili tu utake kujiaminisha unachotaka kuamini!
Watu wawili wakiachana ni lazima kuna sababu, na sababu inaweza kuwa yoyote ile siyo kila Mtu lazima akwambie sababu ya yeye kumwacha mwenziwe!

Wanawake ni watu wazuri sana, na mimi ktk Maisha yangu nimekutana na Wanawake wenye roho nzuri sana na wengine kujitoa kwa ajili yangu pasipo mimi kurudisha wema wao na bado hawakunitupa na hata leo hii nikikwama bado hunichukuwa pmj na kuwa sikuwarudishia mema waliyonitendea!
 
Ilikuwa miaka mitano, mitano mingine atarudi baada ya kutoswa na ataingia na gia ya kwenda kanisani kudai asamehewe maana alipitiwa na ibilisi na pia asamehewe kwa vile Mungu anasamehe
 
Huyu msichana kenge sana, hapa ndo anapo haribu nafasi ya wanawake wachache wanaojua mahusiano na thamani ya ndoa.
Inaonyesha binti hakumpenda mshikaji tangu mwanzo, ila alipenda zake.

Mwambie mshkaji afatilie damu yake.

akapime na DNA,,, mwanamke atakukataa ila wanao lazima atakuforce uchangie.... but kwa maneno ya huna mtoto na mimi...... nna hofu hapo...
 
Maisha ya siku hizi ni ya kuwindana. Muwinda huwindwa.
 
akapime na DNA,,, mwanamke atakukataa ila wanao lazima atakuforce uchangie.... but kwa maneno ya huna mtoto na mimi...... nna hofu hapo...

Huyu msichana hataki kabisa ukarib wala mawasiliano, na inawezekan hiyo statement kaitoa ili kutimiza lengo lake. Huyu binti kama mtoto asingekuwa wake angalisema, ila alichosema ni sahau kuwa umezaa na mimi, this means that amezaa nae.
 
Back
Top Bottom