Baada ya kupata ajira amkimbia mumewe

Baada ya kupata ajira amkimbia mumewe

Siwezi mwamini mke wangu, tamshirikisha tu mambo madogomadogo mengine asahau, they are devil in nature. Samahani lakini
 
belie naona umefurahi vp hiyo unaijua
 
Last edited by a moderator:
Kwanza inaonekana wewe alichofanya mwanamke mwenzio unaunga mkono`pili kama wewe uko kwenye ndoa ni kwa sababu huna kipato siku ukipata kipato jamaa utamkimbia au utamwambia muachane`
Tatu unasema ndoa haina amani kwani suluhu ya matatizo ni kukimbia au kuttafuta ufumbuzi“
Nne`wewe uko mbali sana na mapenzi kama uko kariakooo mapenzi yako tegeta•
Tano kama umeolewa namsikitikia jamaa kaoa mtu asie na really love•
Sita kama una boyfriend akikustukia tabia yako ndo hiyo atakupa kadi nyekundu
Saba kama ningekua nakujua ningefanya kila njia nikugonge then nikuache ningetoa hata milioni ili nikupate tu then nakuacha tena na pete ningekuvalisha halafu nasepa•


.......yes namtetea sababu tumesikia upande mmoja, huyo dada kakimbia ndoa sababu ya manyanyaso kutoka kwa mume.

Kama mume angekuwa mzuri asingemkimbia!!! Kuna wanaume wanyanyasaji sana sana, hii ndio dawa yao kukimbiwa.

Mnafikiri mtapata wanawake wavumilivu kama enzi za mkoloni! Thubutu!!
 
Back
Top Bottom