mjukuum
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 5,257
- 2,826
Wanaimani nayo mkuuHivi kwani ni lazima kila kinachotokea maishani mwenu muje musimulie humu JamiiForumu!??
Wanaimani nayo mkuuHivi kwani ni lazima kila kinachotokea maishani mwenu muje musimulie humu JamiiForumu!??
kwa hiyo Jf na watu wake wafanyeje sasa?Heri ya mwaka mpya wakubwa,
The guy nilishamsemelea sana humu sasa nimepata mbadala wake, nimemuacha aende zake. Sitamlilia tena nimepata mwanaume anaejielewa, so lovely, nina furaha japo sijampa papuchi huyu mpya.
Ni hayo tu.
Huyu wa longi ni sawa na Rafiki yangu Miss NatafutaHaya bwana, tufanyeje sasa na jukwaa limeshachafuka?
Kila binadam ana namna yake ya kupunguza maumivu.Hivi kwani ni lazima kila kinachotokea maishani mwenu muje musimulie humu JamiiForumu!??
Huu sasa ni uchochezi....Papuchi unampa lini???
Kwahiyo, siku utakayo mpa utakuja kutupa taarifa...?Bado sana
Why?.......................................................... nina furaha japo sijampa papuchi huyu mpya.
Ni hayo tu.
Huu sasa ni uchochezi....
Hajielewi huyo utadhan kalazimishwa kuingia jukwaa hili. Anyway hajui hapa wanajukwaa wanapeana experience za maisha hususan ya kimahusiano as well as ushauri ambao husaidia/ hunufaisha pia ambao hawajakumbwa na mikasa hiyoKwani unawafahamu?
Jiulize kwa nini JF ina majukwaa tofauti?
Fanya haraka umpe papuchi, aikonge roho yake mwana wa watu.Heri ya mwaka mpya wakubwa,
The guy nilishamsemelea sana humu sasa nimepata mbadala wake, nimemuacha aende zake. Sitamlilia tena nimepata mwanaume anaejielewa, so lovely, nina furaha japo sijampa papuchi huyu mpya.
Ni hayo tu.
Usipo mpa hiyo papuchi hivi karibuni ataitafuta kwengine aipateBado sana
Bado sana
Bado tuna safari ndefu sana... Kwa kweli Mungu atusaidieHajielewi huyo utadhan kalazimishwa kuingia jukwaa hili. Anyway hajui hapa wanajukwaa wanapeana experience za maisha hususan ya kimahusiano as well as ushauri ambao husaidia/ hunufaisha pia ambao hawajakumbwa na mikasa hiyo