Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
We mpe tu!Bado sana
maana wengine hawana uvumilivu pasi na papuchi, labda awe anapiga mwingne
We mpe tu!Bado sana
NaisubiriNaleta thread hapa jf
Tafafhali mpatie tam yake hujui aliko toka amenyimwa kwa muda gani?Bado sana
Syo jamii forumu ni jamii forum acha unyumbu mkuu.Hivi kwani ni lazima kila kinachotokea maishani mwenu muje musimulie humu JamiiForumu!??
Huyu naye akikutafuna tu naye ananza kukutesa!Heri ya mwaka mpya wakubwa,
The guy nilishamsemelea sana humu sasa nimepata mbadala wake, nimemuacha aende zake. Sitamlilia tena nimepata mwanaume anaejielewa, so lovely, nina furaha japo sijampa papuchi huyu mpya.
Ni hayo tu.
Ila si umenielewa nilikuwa namaanisha nini!??Syo jamii forumu ni jamii forum acha unyumbu mkuu.
Syo... What is it!???Syo jamii forumu ni jamii forum acha unyumbu mkuu.
Bado sana
Mpe Uje na mrejeshoHeri ya mwaka mpya wakubwa,
The guy nilishamsemelea sana humu sasa nimepata mbadala wake, nimemuacha aende zake. Sitamlilia tena nimepata mwanaume anaejielewa, so lovely, nina furaha japo sijampa papuchi huyu mpya.
Ni hayo tu.
Mmmh papuchi ndio lidubwana gani,ngoja nikupe angalizo usinpe hilo papuchi lako inaelekea hilo papuchi unavyowapa watu ndio linasababishq uachwe baki na papuchi lako uendelee kuinjoiHeri ya mwaka mpya wakubwa,
The guy nilishamsemelea sana humu sasa nimepata mbadala wake, nimemuacha aende zake. Sitamlilia tena nimepata mwanaume anaejielewa, so lovely, nina furaha japo sijampa papuchi huyu mpya.
Ni hayo tu.
Bhas ndo mana ume ni block hata call Zangu zinagoma kila nikikupigiaHeri ya mwaka mpya wakubwa,
The guy nilishamsemelea sana humu sasa nimepata mbadala wake, nimemuacha aende zake. Sitamlilia tena nimepata mwanaume anaejielewa, so lovely, nina furaha japo sijampa papuchi huyu mpya.
Ni hayo tu.