Baada ya kumtongoza kwa Miaka 7,Leo amekubali

Baada ya kumtongoza kwa Miaka 7,Leo amekubali

pole sna lakini nikupe hongera. kukubali inamaana amekuamini kuwa siyo mpita njia. na ameona miaka yote hiyo hukati tamaa. ameona kwali upo serious na nimuoaji wewe. sasa usimwangushe. mpende kama alivyokupenda. na nikuambie tu huyo ndo mwanamke wa kuweka ndani. nikutakie mgegedo mwema. ila usimwache please
 
Inasikitisha kuona msomi kama wewe tena kutoka chuo maarufu unapost ishu ya kipuuzi. Sitaki kuamini kuwa ndivyo ulivyofunzwa ila unanilazimisha niamini kuwa elimu uliyonayo imeshindwa kukusaidia kuvumbua na kuleta mabadiliko chanya yako binafsi na jamii kwa ujumla. Tumuogopeni Mungu basi jamaniiiii.....
 
Nilizan mmefanya tafit za kimaendeleo kwa miaka saba sasa leo umepata jibu jibu...kumbe ulikuwa unatongoza for seven years ndo umepata positive answer..... sasa kitaaalam kakukatalia miaka saba na ww jibu la siku moja umesahau miaka saba ya kukataliwa....... ehehehe we have a long way to have mind liberation
 
Atakuwa ajuza loh,,, mod mpewimbo we --usikatetamaa--- usivunjikemoyo-----
 
Hapo ndo panaposhangaza mdada wa watu kakukubali wewe mbio jf kuja kutafuta mawazo ya kumuumiza kumbuka Mungu anauona mpango wako jitahidi kuwazia wengine mema ili nawe upate mema. Hujui kwanini alikua anakukataa na hujui kwanini amekukubali sasa hivi. Pengine kuna kitu Mungu alikua anamrekebisha au anakurekebisha.
 
Leo kanikubalia sijui hata nimpe adhabu gani kwa kunisumbua miaka yote hii..ni binti Wa kiarabu nilianza kumtokea mwaka 2009 tukiwa tunasoma mwaka Wa kwanza pale tumaini university..nilimpenda xana huyu Dada ila alikuwa anakataa kila nilipomtokea ila sikuacha kumsumbua kila nilipojisikia kutongoza nilikuwa nampigia simu then nakumbushia ombi langu..Leo kama masihala nilisema nimkumbushie hatimae mtoto katiki bhana..sijui nimgonge halafu nimwache coz kanisumbua xana huyu mtoto..ebu nishaurin

Utamgonga kwa gongo, baiskeli, pikipiki, gari au rungu?
 
Kaona kero kwakuwa umemsumbua muda mrefu, kakubali yaishe uache kumsumbua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom