Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,426
Tcno toka lini ni nzuriWe nae Huawei tangu lini ikawa nzuri.??
Tcno toka lini ni nzuriWe nae Huawei tangu lini ikawa nzuri.??
Nimeamini hakuna simu bora kama tecno Nimeamini baada ya kununua tecno W5LTE aisee sijutii laki mbili Zangu
Samahani mkuu, naomba unielekeze Duka linalouza TECNO USED kisha muuzaji akatoa na warranty ya mwezi mmoja, maana mi nishazoea kuzikuta, NOKIA, SAMSUNG, MOTOROLA, LG, SONY ERICKSON na BLACKBERRY na muuzaji ananihakikishia nikinunua atanipa na warranty ya mwezi mmoja ikinisumbua nimrudishie, na nimeshazifanyia majaribio simu mbili huku nikizipigisha mzigo mzito, hii nnayo tumia hapa ni NOKIA LUMIA 925,....Nimeamini hakuna simu bora kama tecno Nimeamini baada ya kununua tecno W5LTE aisee sijutii laki mbili Zangu
Ni simu ya kawaida tu, kama inauzwa kuanzia 200k kushuka chini nunuaKwa mjuzi wa Simu kuna hii Alcatel 5023F ni mzuri kiasi gani na imara kiasi gani?
Nahutaji kujua uimara wake mkuuNi simu ya kawaida tu, kama inauzwa kuanzia 200k kushuka chini nunua
we unatumia copy ya simu unasema unatumia simu labda angalau ungesema oppo kidogo inakauwezo? ombi langu kwako mkuu ukianza kutumia simu basi uje kutupa mrejesho.Nimeamini hakuna simu bora kama tecno Nimeamini baada ya kununua tecno W5LTE aisee sijutii laki mbili Zangu
Mkuu kila mtu hujikuna mkono unapofikia.Mwanaume kutumia TECNO ni kujidhalilisha, jina gani la simu hilo? Tekno, techno..aaghr acha jokes bwana we simu gani ziko nchi zenye wala vumbi tu (in Ngabu voice)
Ni ya kawaida tu, kama unataka simu imara nunua Samsung A series au subiri Nokia 5 au Nokia 6 ziingie BongoNahutaji kujua uimara wake mkuu