Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Nimeamini hakuna simu bora kama tecno Nimeamini baada ya kununua tecno W5LTE aisee sijutii laki mbili Zangu
Aaah wapi wewe wacha zakoAseeh, ikianza kuzingua ukae kimya eee...we unatukana mamba kabla hujavuka mto?? Hivi unazijua Tekino vizuri
Haya sawa mkuuAaah wapi wewe wacha zako
pa1 mkuuHaya sawa mkuu
Fresh sanapa1 mkuu
Mkuu upo sahihi kabisa tecno zipo juuNatumia Tecno Phantom 6 plus toka Januari mwaka huu,tangu enzi za Tecno P5 tecno haijawahi kuniangusha. Ila Samsung ukiacha camera on muda mrefu ndiyo ugonjwa wake mkubwa,virus njenje.
Kustuck ndio kumenikimbiza ™tecnoHeavy user yoyote awezi sifia tecno, nimezitumia sana, ila mashine haziwezi mizigo mikubwa ita stack mpk utie adabu. Note nimetumia tecno zaidi ya 10
Upo sahihi mkuuHeavy user yoyote awezi sifia tecno, nimezitumia sana, ila mashine haziwezi mizigo mikubwa ita stack mpk utie adabu. Note nimetumia tecno zaidi ya 10
Sumsung gani full burudani mkuu? Nimezitumia sana sumsung bado sana kwa technoTecno sio mbaya kwa lighter user
Ila kwa wale heavy user wenye apps nzito zito na magame yenye mb kubwa lazma watumie mizigo inayojielewa kama samsung,Xiaomi,huawei or htc zenye specification kubwa kuanzia processor,RAM mpaka Storage.
nilikuwa tecno now nimehamia samsung full burudani
Unadhani techno akiachana na mediatek huyo sumsung atamkuta?Heavy user yoyote awezi sifia tecno, nimezitumia sana, ila mashine haziwezi mizigo mikubwa ita stack mpk utie adabu. Note nimetumia tecno zaidi ya 10
Hujui kuchaguaHeavy user yoyote awezi sifia tecno, nimezitumia sana, ila mashine haziwezi mizigo mikubwa ita stack mpk utie adabu. Note nimetumia tecno zaidi ya 10
Itakua tecno Y2 iyo Pata tecno W5LTE uwone mzikiKustuck ndio kumenikimbiza tecno
nilikuwa na tecno Flani hivi yaan kuandika msg au kupiga simu unasubiri hata dkk 15 ndo keyboard itoke