Baada ya kumbana akanifungukia kuwa ni muathirika wa UKIMWI

kuna jamaa yangu alikuwa anakatafuna kademu kamoja mtaani, kale kademu mwezi uliopita kaliumwa ghafra kakaenda lazwa muhimbili kama wiki 2 kalivyopata ahueni aka mtumia jamaa sms akimuomba samahani kuna yeye nimuathirika tayari na jamaa yangu alikala kale kademu si chini ya mara 10 na hajawahi kutumia kondom hata siku moja, jamaa alichanganyikiwa ilikuwa saa tano usiku jamaa alitoka usiku huo huo kutafuta zahati, kapimwa kaonekana yuko safi yaani jamaa haamini
Alipima mara ngapi?
 
kuna jamaa yangu alikuwa anakatafuna kademu kamoja mtaani, kale kademu mwezi uliopita kaliumwa ghafra kakaenda lazwa muhimbili kama wiki 2 kalivyopata ahueni aka mtumia jamaa sms akimuomba samahani kuna yeye nimuathirika tayari na jamaa yangu alikala kale kademu si chini ya mara 10 na hajawahi kutumia kondom hata siku moja, jamaa alichanganyikiwa ilikuwa saa tano usiku jamaa alitoka usiku huo huo kutafuta zahati, kapimwa kaonekana yuko safi yaani jamaa haamini

Noma usingiz haupand
 
Back
Top Bottom