Pamoja na matangazo mamlaka ya mawasiliano wanayoyatoa nimeibiwa simu, nimeripoti polisi (RB) ninayo, risiti ya kununulia yenye imei namba ninayo, box la simu yenyewe ninalo ..... Tatizo wahusika wanaendelea kunipiga kalenda .... Nifanye nini zaidi ya kufuatilia kunakohusika au wanataka kitu kidogo? Waungwana wazoefu nipeni ishauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app