Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Ikitokea umeibiwa simu uliyokuwa unatumia Je unatakiwa kufanya nini ? Najua kuibiwa kitu chako kipya au ulichonunua kwa Gharama yoyote ile inauma sio poa.
Uzi ni wenu wapwa si unajua Teknolojia ni Yetu sote
Nchini Tanzania inaonyesha karibia aslimia 68% ya watu waliobiwa simu zao wameshindwa kuzirudisha au kuzipata pale walipopoteza au kuibiwa simu.
Unajikuta Kuna nyaraka muhimu zako umehifadhi kwenye simu yako alafu Kuna mtu amechukua bila kutarajia.
Je nini ufanye ikitokea umepoteza au kuibiwa simu yako
1) kwanza piga simu yako kujua kama inaita au imezimwa inawezekana Kuna mtu mwemq ameokota anaweza kukupa.
2) itafute simu yako kupitia mfumo wa find my device kwa watumiaji wote android & iphone wana feature inayoitwa find my device ya kuweza kutafuta simu yako ikiwa umepoteza au kuibiwa.
3) kwenye iphone tumia (find my iOS ) kwenye Samsung tumia smart things find au find my mobile pia kwenye android tumia find my device kwani Kuna baadhi ya simu unaweza kuzifuatilia ata kama imezimwa.
4) weka simu yako kwenye mfumo wa lock mode kupitia find my feature utaweza kuifunga simu yako ambao utatokea ujumbe kwenye kioo cha simu kuwa simu hii imefungiwa tafadhari piga namba 065****56
5) toa taarifa kwa watoa huduma piga 100 kwenda tigo , voda, Airtel, halotel nk kuwafahamisha kuwa umeibiwa simu pia wanaweza kukusaidia kufuatilia simu yako ikiwa utaenda ofisini kwao.
6) toa taarifa polisi hakikisha una IMEI namba ni muhimu kuhifadhi IMEI namba kwani polisi watakusaidia kuweza kutafuta simu yako
Nenda na risiti uliyonunulia simu , nenda na IMEI namba waambie polisi umeibiwa simu yako ni muhimu alafu ina taarifa nyingi muhimu watakusaidia kuwasiliana na huduma kwa wateja kuweza kuifuatilia simu yako na kuipata.
Ukitumia izo njia unaweza kuipata simu yako uliyoibiwa au kupoteza Ebu tuambie ulivyopoteza simu yako ulifanya jambo Gani kuipata Tena ?
Uzi ni wenu wapwa si unajua Teknolojia ni Yetu sote
Nchini Tanzania inaonyesha karibia aslimia 68% ya watu waliobiwa simu zao wameshindwa kuzirudisha au kuzipata pale walipopoteza au kuibiwa simu.
Unajikuta Kuna nyaraka muhimu zako umehifadhi kwenye simu yako alafu Kuna mtu amechukua bila kutarajia.
Je nini ufanye ikitokea umepoteza au kuibiwa simu yako
1) kwanza piga simu yako kujua kama inaita au imezimwa inawezekana Kuna mtu mwemq ameokota anaweza kukupa.
2) itafute simu yako kupitia mfumo wa find my device kwa watumiaji wote android & iphone wana feature inayoitwa find my device ya kuweza kutafuta simu yako ikiwa umepoteza au kuibiwa.
3) kwenye iphone tumia (find my iOS ) kwenye Samsung tumia smart things find au find my mobile pia kwenye android tumia find my device kwani Kuna baadhi ya simu unaweza kuzifuatilia ata kama imezimwa.
4) weka simu yako kwenye mfumo wa lock mode kupitia find my feature utaweza kuifunga simu yako ambao utatokea ujumbe kwenye kioo cha simu kuwa simu hii imefungiwa tafadhari piga namba 065****56
5) toa taarifa kwa watoa huduma piga 100 kwenda tigo , voda, Airtel, halotel nk kuwafahamisha kuwa umeibiwa simu pia wanaweza kukusaidia kufuatilia simu yako ikiwa utaenda ofisini kwao.
6) toa taarifa polisi hakikisha una IMEI namba ni muhimu kuhifadhi IMEI namba kwani polisi watakusaidia kuweza kutafuta simu yako
Nenda na risiti uliyonunulia simu , nenda na IMEI namba waambie polisi umeibiwa simu yako ni muhimu alafu ina taarifa nyingi muhimu watakusaidia kuwasiliana na huduma kwa wateja kuweza kuifuatilia simu yako na kuipata.
Ukitumia izo njia unaweza kuipata simu yako uliyoibiwa au kupoteza Ebu tuambie ulivyopoteza simu yako ulifanya jambo Gani kuipata Tena ?