BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Yummy my dear mkemwenza....
mume wetu Asprin oyeeeeee
mwenzangu mwanaume anayepaniki mkeo kuwa jf ana tatizo... ni kutokujiamini tu.... au ndo wale wanaume wababe, au mume anachakachua huko jf?
mume wetu Asprin oyeeeeee
mwenzangu mwanaume anayepaniki mkeo kuwa jf ana tatizo... ni kutokujiamini tu.... au ndo wale wanaume wababe, au mume anachakachua huko jf?
Last edited by a moderator: