Kweli Dr shika katushika
Haaaaaaaa! mumeshikwa wapi?
Kweli Dr shika katushika
Mkuu unatia kinyaa.. Lisu yupo nairobi kama umemiss akushikeshike masaburi nenda yupo kuleSwali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
mi nishazoea miaka 5 sasa,brittanica kama bado upo kwa PUTIN angalia na wewe usije ukarudi na masanga kichwani nasikia mnapiga laga kwenda mbele huko!
ndiyoKumbe ana mke wa ki-Russia
Ndio maana nkasema maisha yako hatarin since wanaomtafuta itakuwa rahis kwa wao kumkamataKivip mkuu, mie nahis washajua alipo watamtrack
Anakwambia kwa mtu yeyote aliye mzima lazima atakapoenda atakutana na mwenza wake ...Dr Shika kumbe kaacha damu yake RussiaKumbe ana mke wa ki-Russia
ndiyo kesho naendelea na safari yangu kwenda kwingineKwa hiyo hapo uko Urusi unavyotuma huu uzi?
Hofu yako ndo adui yako! Hata kivuli chako utasema sisiemu wamekiweka wanakufuatilia.Mkuu CCM wana njia nyingi sana, usiamini CCM hata siku moja.
unataka atoe siri za kambi mkuu? awezi kueleza in detailsAisee, maneno mengi yanaungana na ukweli, ila in reality unawezaje kuwatoroka KGB kindezi ndezi kama alivyosema yeye?
Kwahiyo hapo kwa muda huu ni usiku au mchana?ndiyo kesho naendelea na safari yangu kwenda kwingine
taasisi ya waliodhurumiwamara paap!!,magu kamteua docta shika kuwa mkuu wa taasisi fulani serikalini.
unataka atoe siri za kambi mkuu? awezi kueleza in details
Kabisa mkuu akiwa mzima kuna vitu vitagunduliwa na kama bado ana connection na USA ni shida nyingine hiyo.Ndio maana nkasema maisha yako hatarin since wanaomtafuta itakuwa rahis kwa wao kumkamata