roselina john
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 758
- 942
Tata
SanaKweli Dr shika katushika
Onooohakuna kitu, chai hiii
BashiteNaanza kupata mwanga kwa hili tukio na huyu mtu..kuna mambo yanafanyika hapa duniani ukisimuliwa unaweza dhani ni hadithi za juma na uledi..
Heebritanicca ,sagga itaendelea?lini utamalizia?
OhoooHii thread ilikuwa na kamba sana. JF your imagination ndiyo limit, you can be anybody and be anywhere you want. 😂😂😂
Nafuta kauli mkuuOhooo
Nafuta kauli mkuuOhooo
Nafuta kauli mkuuOhooo
Was realNafuta kauli mkuu
HakikaDaah ukisoma urusi wengi wanakua kama wamepagawa...kuna doc mmoja wa uchumi alitufundisha ni kama ziliyumba kichwani ila ndo mnaambiwa ni gwiji la uchumi...halafu ukomunist ulimuungia kuliko maelezo..