Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Daah ukisoma urusi wengi wanakua kama wamepagawa...kuna doc mmoja wa uchumi alitufundisha ni kama ziliyumba kichwani ila ndo mnaambiwa ni gwiji la uchumi...halafu ukomunist ulimuungia kuliko maelezo..
 
Back
Top Bottom