Baada ya kufanya nae mapenzi bila kinga hiki ndicho kilichonipata..Nisaidieni

PlayBoyMwema

JF-Expert Member
Jul 27, 2014
1,714
1,829
Imepita wiki moja tangu nifanye unsafe sex na yule msichana sasa najikuta uume wangu unawasha na kutoa maji maji kama usaha and ofcourse nimepanga baada ya miezi mitatu niende ANGAZA kucheki kama nimepewa lile gonjwa hatari... Lakin saiv ningependa mnisaidie tiba ya hili tatizo la uume wangu kuwasha na kutoa usaha... Asanteni!!
 
Imepita wiki moja tangu nifanye unsafe sex na yule msichana sasa najikuta uume wangu unawasha na kutoa maji maji kama usaha and ofcourse nimepanga baada ya miezi mitatu niende ANGAZA kucheki kama nimepewa lile gonjwa hatari... Lakin saiv ningependa mnisaidie tiba ya hili tatizo la uume wangu kuwasha na kutoa usaha... Asanteni!!
Acha kuwa Playboymwema
 
umepata gono hilo mdau fanya kamuone docta haraka kabla mambo hayaja haribika aise pia punguza kama sikuacha kabisa uplayboy
 
Nenda hosptali haraka,huo unatibika wala usiwe na hofu,kasheshe ni huo unaosubiria kucheki baada ya miezi 3,cha muhimu ni kuanza kujiandaa kisaikolojia ili uweze kupokea majibu yako bila kuchanganyikiwa.
 
Imepita wiki moja tangu nifanye unsafe sex na yule msichana sasa najikuta uume wangu unawasha na kutoa maji maji kama usaha and ofcourse nimepanga baada ya miezi mitatu niende ANGAZA kucheki kama nimepewa lile gonjwa hatari... Lakin saiv ningependa mnisaidie tiba ya hili tatizo la uume wangu kuwasha na kutoa usaha... Asanteni!!
Mkuu tena unabahati maana umeukwepa UMEME.Pamoja Na matangazo yoteeeee ya kutumia kinga ukaona uyakomoe matangazo.
Tafuta mke Na acha UZINZI.
 
Aisee sijui tuna akili gani wakati mwingine baada kwenda hospital kwa daktari ukajue shida ni nini we waja huku sijui utasaidiwa ninj....kuumwa napo mtu ushauriwe kwenda hospital?
 
Back
Top Bottom