Ambiele Kiviele JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 15,271 Reaction score 29,937 Nov 20, 2016 Thread starter #21 alibakari said: Unamjibu siioni, au unamfanyia suprise, unamwambia baby hv rangi ya pichu yako unaikumbuka, naomba unitajie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Akili Hiyo Unayo Sasa
alibakari said: Unamjibu siioni, au unamfanyia suprise, unamwambia baby hv rangi ya pichu yako unaikumbuka, naomba unitajie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Akili Hiyo Unayo Sasa
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,739 Reaction score 76,374 Nov 20, 2016 #22 Ambiele Kiviele said: Akili Hiyo Unayo Sasa Click to expand... Ndio, Kaka mi nishaponyoka matukio ya hatari kuliko Hilo, 2012 nilipata bonge la fumanizi, mmoja ndani mmoja nje, nikatumia akili kubwa nishindwe hapo kweli, ilishawahi kunitokezea dem mmoja aliacha pichu yake kwangu
Ambiele Kiviele said: Akili Hiyo Unayo Sasa Click to expand... Ndio, Kaka mi nishaponyoka matukio ya hatari kuliko Hilo, 2012 nilipata bonge la fumanizi, mmoja ndani mmoja nje, nikatumia akili kubwa nishindwe hapo kweli, ilishawahi kunitokezea dem mmoja aliacha pichu yake kwangu
Tobii JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 282 Reaction score 286 Nov 21, 2016 #23 Mi nishawai kumwita jina la rafiki yake katikati ya mechi niliekua nae jana yake...ilikua kirambasi siku hiyo,but ndio wife now
Mi nishawai kumwita jina la rafiki yake katikati ya mechi niliekua nae jana yake...ilikua kirambasi siku hiyo,but ndio wife now
Ambiele Kiviele JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 15,271 Reaction score 29,937 Nov 21, 2016 Thread starter #24 Tobii said: Mi nishawai kumwita jina la rafiki yake katikati ya mechi niliekua nae jana yake...ilikua kirambasi siku hiyo,but ndio wife now Click to expand... Iyo Vita Naona Ilikuwa si Ya Kitoto By Ze way Nipe Bass # Za Uyo Rafiki Yake [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
Tobii said: Mi nishawai kumwita jina la rafiki yake katikati ya mechi niliekua nae jana yake...ilikua kirambasi siku hiyo,but ndio wife now Click to expand... Iyo Vita Naona Ilikuwa si Ya Kitoto By Ze way Nipe Bass # Za Uyo Rafiki Yake [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]