sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 637
- 580
jaribu kutrack na globalpostal wataonesha wapi ipo.but wiki.6 du h nyingi sana hata free.shipping sio ivyo
Dhl officemkuu hivi hao DHL mzigo unachukulia posta zetu au ofisi za DHL
Kwenye ofisi zao zilizoenea mikoa mingi nchini. Ama wanaweza kukuletea mpaka mlangoni nyumbani unapokaa ama ofisini unapofanya kazi.mkuu hivi hao DHL mzigo unachukulia posta zetu au ofisi za DHL
Nimeshasema free shipping sitaki tena. Sijui ni dharau!Wakuu ule mzigo nimeupata na Leo posta walinipigia simu nikachukue,
Ila nilichogundua mizigo midogo inachelewa sana kuja au free shipping unasubiri mpaka unakoma.
Ndy nini hii mkuu?Next time tumia Aramex Shop and Ship