Baada ya kuagiza mzigo Aliexpress

Baada ya kuagiza mzigo Aliexpress

Heshima kwenu wakuu, Twende kwenye mada Niliagiza mzigo kampun iyo hapo juu, mpaka kuwasili ilionesha wiki 6 ambayo ni tar 16 ya mwez huu wa 8 toka tareh 12 ya mwez wa 7. Sas ile tarehe imewadia na kwenye track inaonyesha tareh zimeshafutika tayr na zimepita siku chache , sasa nahitaj kujua wale wazoefu hii ishu ipoje japo kwenye email wameandka finalized ya kila kitu na kuachia malipo yangu ni tar 12 ya mwez Wa 9 it means ikitimia tarehe iyo basi akuna tatizo na malipo yana achiwa. So nisubir mpaka Wa Tisa au ipoje hapo?
Au direct niend kweny open dispute maana sija confirm mzigo kupokea na ship inaonyesha kwenye iyo screen short bado kidogo Kufinish.
kwaiyo nisubiri au vipi pia sijapokea email ya mzigo kuwasili,

msaada wenu wale wazoefu Asanteni.

Poleni kwa mtakao ona uhandshi mbovu.
Nenda ofisi za ems posta ya eneo lako, nenda dhl ofisi zao kama uliwatumia, mwisho nenda ofisi za posta kaangalie sanduku lako.
 
Ninashida hiyo hiyo. Ila naona nisamehe tu maana nilinunua kitu cha $20 nijaribishe kama vinafika
 
Heshima kwenu wakuu, Twende kwenye mada Niliagiza mzigo kampun iyo hapo juu, mpaka kuwasili ilionesha wiki 6 ambayo ni tar 16 ya mwez huu wa 8 toka tareh 12 ya mwez wa 7. Sas ile tarehe imewadia na kwenye track inaonyesha tareh zimeshafutika tayr na zimepita siku chache , sasa nahitaj kujua wale wazoefu hii ishu ipoje japo kwenye email wameandka finalized ya kila kitu na kuachia malipo yangu ni tar 12 ya mwez Wa 9 it means ikitimia tarehe iyo basi akuna tatizo na malipo yana achiwa. So nisubir mpaka Wa Tisa au ipoje hapo?
Au direct niend kweny open dispute maana sija confirm mzigo kupokea na ship inaonyesha kwenye iyo screen short bado kidogo Kufinish.
kwaiyo nisubiri au vipi pia sijapokea email ya mzigo kuwasili,

msaada wenu wale wazoefu Asanteni.

Poleni kwa mtakao ona uhandshi mbovu.
 
Heshima kwenu wakuu, Twende kwenye mada Niliagiza mzigo kampun iyo hapo juu, mpaka kuwasili ilionesha wiki 6 ambayo ni tar 16 ya mwez huu wa 8 toka tareh 12 ya mwez wa 7. Sas ile tarehe imewadia na kwenye track inaonyesha tareh zimeshafutika tayr na zimepita siku chache , sasa nahitaj kujua wale wazoefu hii ishu ipoje japo kwenye email wameandka finalized ya kila kitu na kuachia malipo yangu ni tar 12 ya mwez Wa 9 it means ikitimia tarehe iyo basi akuna tatizo na malipo yana achiwa. So nisubir mpaka Wa Tisa au ipoje hapo?
Au direct niend kweny open dispute maana sija confirm mzigo kupokea na ship inaonyesha kwenye iyo screen short bado kidogo Kufinish.
kwaiyo nisubiri au vipi pia sijapokea email ya mzigo kuwasili,

msaada wenu wale wazoefu Asanteni.

Poleni kwa mtakao ona uhandshi mbovu.
Just wait brother mzigo ukifika utatumiwa sms na posta ambao utakua na code ya mzigo wako
 
Ujumbe unakua kama ivyo
Screenshot_20190823-085310.jpeg
 
Back
Top Bottom