Baada ya kuagiza mzigo Aliexpress

Baada ya kuagiza mzigo Aliexpress

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
1,549
Reaction score
2,668
Heshima kwenu wakuu, Twende kwenye mada Niliagiza mzigo kampun iyo hapo juu, mpaka kuwasili ilionesha wiki 6 ambayo ni tar 16 ya mwez huu wa 8 toka tareh 12 ya mwez wa 7. Sas ile tarehe imewadia na kwenye track inaonyesha tareh zimeshafutika tayr na zimepita siku chache , sasa nahitaj kujua wale wazoefu hii ishu ipoje japo kwenye email wameandka finalized ya kila kitu na kuachia malipo yangu ni tar 12 ya mwez Wa 9 it means ikitimia tarehe iyo basi akuna tatizo na malipo yana achiwa. So nisubir mpaka Wa Tisa au ipoje hapo?
Au direct niend kweny open dispute maana sija confirm mzigo kupokea na ship inaonyesha kwenye iyo screen short bado kidogo Kufinish.
kwaiyo nisubiri au vipi pia sijapokea email ya mzigo kuwasili,

msaada wenu wale wazoefu Asanteni.

Poleni kwa mtakao ona uhandshi mbovu.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-08-20-11-42-27.png
    Screenshot_2019-08-20-11-42-27.png
    15.6 KB · Views: 57
Umeenda posta kufatilia? Maana posta ndio watakupa taarifa zaidi, wakati huo huo wasiliana na Muuzaji ajue anakusaidiaje. Pia unaweza kufungua kesi ya refund wakati unafuatilia mzigo wako.
 
Hata mimi nashida hiyo hiyo ninachojua mara nyingi mizigo midogo ndiyo inavyokuwa wanachelewesha sana ishanitokea zaidi ya mara 3 hii ni cover ya simu nasikilizia hizo siku tatu zilizobaki then nicheck nao.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-08-21-08-19-36.jpeg
    Screenshot_2019-08-21-08-19-36.jpeg
    26.1 KB · Views: 63
Mimi kuna mzigo niliupokea hata kabla hiko kionyesha ndege hakijafika mwisho
 
Hata mimi nashida hiyo hiyo ninachojua mara nyingi mizigo midogo ndiyo inavyokuwa wanachelewesha sana ishanitokea zaidi ya mara 3 hii ni cover ya simu nasikilizia hizo siku tatu zilizobaki then nicheck nao.

View attachment 1186494
Sawa Mangi sasa omba verified ID tu maana tumekwisha kufahamu huna haja yakutumia Kurunzi
 
track.PNG

Mimi wa kwangu unaonekana umefika...Kinachofuata hapo ndio sijui na nahitaji msaada...watanipigia simu au niende posta kufatilia?
 
Hata mimi nashida hiyo hiyo ninachojua mara nyingi mizigo midogo ndiyo inavyokuwa wanachelewesha sana ishanitokea zaidi ya mara 3 hii ni cover ya simu nasikilizia hizo siku tatu zilizobaki then nicheck nao.

View attachment 1186494
Mkuu hzo details hapo chini ni sawa ulivyoziacha?
 
Mrejesho baada ya kuwafata live chat Wa kaniambia ivyo so ni wait mpak kabla ya tar 12- mwez wa 9 nikion kimya niwachek ngoma bado ipo njiani
 

Attachments

  • IMG_20190821_142611_992.JPG
    IMG_20190821_142611_992.JPG
    23 KB · Views: 43
Heshima kwenu wakuu, Twende kwenye mada Niliagiza mzigo kampun iyo hapo juu, mpaka kuwasili ilionesha wiki 6 ambayo ni tar 16 ya mwez huu wa 8 toka tareh 12 ya mwez wa 7. Sas ile tarehe imewadia na kwenye track inaonyesha tareh zimeshafutika tayr na zimepita siku chache , sasa nahitaj kujua wale wazoefu hii ishu ipoje japo kwenye email wameandka finalized ya kila kitu na kuachia malipo yangu ni tar 12 ya mwez Wa 9 it means ikitimia tarehe iyo basi akuna tatizo na malipo yana achiwa. So nisubir mpaka Wa Tisa au ipoje hapo?
Au direct niend kweny open dispute maana sija confirm mzigo kupokea na ship inaonyesha kwenye iyo screen short bado kidogo Kufinish.
kwaiyo nisubiri au vipi pia sijapokea email ya mzigo kuwasili,

msaada wenu wale wazoefu Asanteni.

Poleni kwa mtakao ona uhandshi mbovu.
Sorry mkuu hivi huwezi kununua kwa simu,make kwangu naona inanigomea had computer!
 
Back
Top Bottom