MilioneaWaSasa
Member
- Jul 8, 2015
- 78
- 11
Ndg wanaJF...
Nawasalimu kwa imani yangu!
Nadhani halitakuwa jambo baya kama tukijikumbusha na kufahamishana juu ya wanaCCM waliowahi kukiri kumuunga mkono mwanaCCM mwenzao ndg Lowassa ambaye ni mgombea wa CHADEMA.
Mwapachu aliwahi kuzungumza na sasa amemfuata. Je, unadhani ndani ya jimbo lako au kata yako, kuna mgombea wa CCM ambaye atamfuata Lowassa?
Tujulishe na sisi tuwe wa kwanza kufahamu! Pengine aliwahi kukiri kumuunga mkono au kuonesha yuko TeamLowasa... Tufahamishane mapema. Au?
Naomba kuwasilisha...
Nawasalimu kwa imani yangu!
Nadhani halitakuwa jambo baya kama tukijikumbusha na kufahamishana juu ya wanaCCM waliowahi kukiri kumuunga mkono mwanaCCM mwenzao ndg Lowassa ambaye ni mgombea wa CHADEMA.
Mwapachu aliwahi kuzungumza na sasa amemfuata. Je, unadhani ndani ya jimbo lako au kata yako, kuna mgombea wa CCM ambaye atamfuata Lowassa?
Tujulishe na sisi tuwe wa kwanza kufahamu! Pengine aliwahi kukiri kumuunga mkono au kuonesha yuko TeamLowasa... Tufahamishane mapema. Au?
Naomba kuwasilisha...