palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
Hivi wanaona raha gani kujianika miili yao?
Ili tuwaone😛hoto:
Inategemea alipigwa akiwa wapi,labda yupo ufukweni? na huyo ndo kaz yake sasa atafanyaje matangazo ya vipodozi? Hata yeye hawez tembea barabarani yupo hvyo. Me naona ipo poa kulingana na kaz yake.
Hahahaha hauridhiki na ya mtoto kasinde?
Mkuu weka na hizo za Kim tusafishe macho vizuri,